Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Siwezi kulala moja kwa moja lazima nipate mchachuo wa kuchangamsha damu. Mtoto wa mama mkwe apate kiu ya majiNi kulala mkuu. Je wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kulala moja kwa moja lazima nipate mchachuo wa kuchangamsha damu. Mtoto wa mama mkwe apate kiu ya majiNi kulala mkuu. Je wewe?
Mbona recategorization 😂😂Ni kweli kaka mwanamke anaejua vizuri mapishi hata kitandani wapo vizuri pia huambatana na sifa ya usafi...wanakua wasafi sana
Hapo kwenye wanawake wa pwani wanakua wazuri kitandani Kwa sababu Mila zao wana utaratibu wa kuwafunza wanawake mambo ya kudinyana tofauti na huku uchagani ambapo focus ya wanawake ni kuongeza elimu na mambo ya recategorization 😂
Hawa viumbe hata upike Nini hawatosheki 😀😀utaachwa sabbu ulichelewa sokoniMamdogo Auntie hongera mahamri yavutia.
Unakaa kimya sana, usiwe unatuacha acha na sisi wakubwa zako ambao hatujui kukaangiza kama hivi, usitake tuachike!!
Nahitaji matano ya chai asubuhi hii.Mkoani mkuu
Saa nyingine hua naona kama kupika kitu kikawa kitamu inategemea na mkono wa mtu. Kuna mwingine anaweza kufuata maelekezo yote kama yalivyo na ukashangaa hayawi matam. 😐Hawa viumbe hata upike Nini hawatosheki 😀😀utaachwa sabbu ulichelewa sokoni
Tupike tule tujenge mwili dada nitakuwa najitahidi kipenzi
Dai salama mama.Upo mkoa gani nikuletee😀
Ndio maana unakuta kajamaa kanakula kilo 1 ya ubwabwa halafu kunenepa kumeshindikana.Siwezi kulala moja kwa moja lazima nipate mchachuo wa kuchangamsha damu. Mtoto wa mama mkwe apate kiu ya maji
Tanzania ni ndogo sana, mwingiliano ni mkubwa sana Tanga, dar, pwani, lindi & mtwara kote Huko tuseme sijawahi pata kwel?Mbona recategorization 😂😂
Tupe mifano hai mambo ya ushahid ushawahi Pata mwanamke wa pwani
Tayari bado tu kujifunza kupika hayo maandaz🤣🤣Una akili sana wewe tunza hiyo picha Kwa matumiz ya badae
Mkuu mimi sili kujaza tumbo. Najitahidi kula kwa kuzingatia mlo kamili japo sio kwa asilimia 100 ila kwa kiasi fulani najitahidi sanaNdio maana unakuta kajamaa kanakula kilo 1 ya ubwabwa halafu kunenepa kumeshindikana.
Hayo mandazi tunapataje?Hongera umepata ujuzi mpya 😃😃
Geuka upande Huu wa kulia kwako utaniona nimevaaa kama father ChristmasUkowapi 😀😀