Jinsi ya kupika maandazi matamu ya maziwa na hiriki

Jinsi ya kupika maandazi matamu ya maziwa na hiriki

Hahaha sio mama kifusi?? Maana kuna Maza alikuwa anapika msosi mwingi analeta nyuma ya coet huku.

Wazee wa quantity based walikuwa wanafaidi.

Mimi bili niliweka daruso cafe kabla haijakufa.

Naweka bili ya RB navuta kibua
Sema we mzee ulikuwa mkali sana wa hizi mbinga.

Mi nilikuaga nyangema kipindi icho nilikua naibuka kwa kuvizia vizia tena najifanya kama nimewasindikiza Wana. Kumbe hali tete
 
Manyanza
Unajua kupika supu au unamchemsha maji tu🀣🀣
IMG_20240820_194525~2.jpg
 
Manyanza
Unajua kupika supu au unamchemsha maji tu🀣🀣View attachment 3093988
Aisee Mimi ni Mtu Mbad wewe 🀣🀣🀣
Jana nilinunua nusu kilo nikaichemsha nyama nikaweka Hohohoho,karoti, tangawizi ya unga na maziwa ya maji aisee ilikuwa tamu mnooo. Hapa nilipo nimejiuma ulimi una kidonda sababu ya utamu wa ile supu
 
Aisee Mimi ni Mtu Mbad wewe 🀣🀣🀣
Jana nilinunua nusu kilo nikaichemsha nyama nikaweka Hohohoho,karoti, tangawizi ya unga na maziwa ya maji aisee ilikuwa tamu mnooo. Hapa nilipo nimejiuma ulimi una kidonda sababu ya utamu wa ile supu
Miso misondo una hatari
Nitakupa dada
Ai mama unahatar wewe 🀣🀣🀣🀣
 
Sema we mzee ulikuwa mkali sana wa hizi mbinga.

Mi nilikuaga nyangema kipindi icho nilikua naibuka kwa kuvizia vizia tena najifanya kama nimewasindikiza Wana. Kumbe hali tete
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hahahaha Mimi nilikuwa sivungi yaan namwambia dada weka RB kubwa.

Nimetoka mkoani, mkoani tunakula saanaa.

Vip kashaleta maandazi??
 
Asante mkuu kwa kutoa ajira. Mtu akizingatia tayari atakuwa na kiwanda kimoja cha maandazi.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hahahaha Mimi nilikuwa sivungi yaan namwambia dada weka RB kubwa.

Nimetoka mkoani, mkoani tunakula saanaa.

Vip kashaleta maandazi??
Nilikuwepo hapo last week
Aise Bei ni bado zile zile za miaka 12 iliyopita.

Nilitoa 1300 nikapigwa ugali na utumbo! haha.

Aaliyyah kaelemewa na wateja
 
Back
Top Bottom