Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema we mzee ulikuwa mkali sana wa hizi mbinga.Hahaha sio mama kifusi?? Maana kuna Maza alikuwa anapika msosi mwingi analeta nyuma ya coet huku.
Wazee wa quantity based walikuwa wanafaidi.
Mimi bili niliweka daruso cafe kabla haijakufa.
Naweka bili ya RB navuta kibua
Aisee Mimi ni Mtu Mbad wewe π€£π€£π€£
Miso misondo una hatariAisee Mimi ni Mtu Mbad wewe π€£π€£π€£
Jana nilinunua nusu kilo nikaichemsha nyama nikaweka Hohohoho,karoti, tangawizi ya unga na maziwa ya maji aisee ilikuwa tamu mnooo. Hapa nilipo nimejiuma ulimi una kidonda sababu ya utamu wa ile supu
Leta mandazi wacha siasaππWew itakuwa mwanajeshi
Tufungue mgahawa wa madikodiko Miss π€£π€£π€£π€£Miso misondo una hatari
Nitakupa dada
Ai mama unahatar wewe π€£π€£π€£π€£
πππUmesha olewa rafiki??
πππππSema we mzee ulikuwa mkali sana wa hizi mbinga.
Mi nilikuaga nyangema kipindi icho nilikua naibuka kwa kuvizia vizia tena najifanya kama nimewasindikiza Wana. Kumbe hali tete
Nilikuwepo hapo last weekπππππ
Hahahaha Mimi nilikuwa sivungi yaan namwambia dada weka RB kubwa.
Nimetoka mkoani, mkoani tunakula saanaa.
Vip kashaleta maandazi??
πππNilikuwepo hapo last week
Aise Bei ni bado zile zile za miaka 12 iliyopita.
Nilitoa 1300 nikapigwa ugali na utumbo! haha.
Aaliyyah kaelemewa na wateja
Mbona weye wacheka, Kwani kuuliza Kuna ubaya??πππ
Umeuliza swali zuri mkuuMbona weye wacheka, Kwani kuuliza Kuna ubaya??
Sawa, maana wasema ua lenye kunukia ni zaidi ya kuvutiaUmeuliza swali zuri mkuu
Tunasubiria majibu
Ili ugundue nini kwa mbantuπππ
Nilienda one time nilikuta watoto wazuri mnoo...
Nikasema kweli vijana wanafaidi mema yadunia.
Basi mwambie Bantu Lady atusaidie upande wa derivery