Jinsi ya kupika maandazi matamu ya maziwa na hiriki

Jinsi ya kupika maandazi matamu ya maziwa na hiriki

Sawa tu tafuta location Nina uhakika tunauza

Kipind namaliza shule nilikuwa nauza juis fresh aisee lile eneo nikienda kupeleka juis watu hawauzi Hadi zangu ziishe kidogo nilogwe 😃😃
Dili hilo aisee 🥳🥳🥳
Kwani KFC alianzaje ?To dare is to do.
Unaogopa kurogwa ?🤣🤣🤣
Yule mjinga Mwizi wangu anahangaika Mimi nalia na kitabu tu. Mpaka kieleweke
 
Sawa tu tafuta location Nina uhakika tunauza

Kipind namaliza shule nilikuwa nauza juis fresh aisee lile eneo nikienda kupeleka juis watu hawauzi Hadi zangu ziishe kidogo nilogwe 😃😃
Location 🤔
Ubungo, Mwenge, Kariakoo. Ngoja nitalifanyia kazi hili serious kabisa. Alafu ukiwa na mobile services siku za mechi kubwa za Simba, Uto au Azam unakuwa unatoa huduma. Unatengeneza vitafunwa aina tofauti na juice hata lita 500 na vifungashio vipo sehemu. Unatengeneza sana hela aisee
 
Mpaji Mungu
Muda wa pilau
IMG_20240912_140017.jpg
 
Back
Top Bottom