Jinsi ya kupika maandazi matamu ya maziwa na hiriki

Sawa tu tafuta location Nina uhakika tunauza

Kipind namaliza shule nilikuwa nauza juis fresh aisee lile eneo nikienda kupeleka juis watu hawauzi Hadi zangu ziishe kidogo nilogwe πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Dili hilo aisee πŸ₯³πŸ₯³πŸ₯³
Kwani KFC alianzaje ?To dare is to do.
Unaogopa kurogwa ?🀣🀣🀣
Yule mjinga Mwizi wangu anahangaika Mimi nalia na kitabu tu. Mpaka kieleweke
 
Sawa tu tafuta location Nina uhakika tunauza

Kipind namaliza shule nilikuwa nauza juis fresh aisee lile eneo nikienda kupeleka juis watu hawauzi Hadi zangu ziishe kidogo nilogwe πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Location πŸ€”
Ubungo, Mwenge, Kariakoo. Ngoja nitalifanyia kazi hili serious kabisa. Alafu ukiwa na mobile services siku za mechi kubwa za Simba, Uto au Azam unakuwa unatoa huduma. Unatengeneza vitafunwa aina tofauti na juice hata lita 500 na vifungashio vipo sehemu. Unatengeneza sana hela aisee
 
Dili hilo aisee πŸ₯³πŸ₯³πŸ₯³
Kwani KFC alianzaje ?To dare is to do.
Unaogopa kurogwa ?🀣🀣🀣
Yule mjinga Mwizi wangu anahangaika Mimi nalia na kitabu tu. Mpaka kieleweke
Pambana ndugu had kieleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…