Jinsi ya kupika makande

Jinsi ya kupika makande

kwenye ndizi hapo daaah,

sitaki kupikiwa hata awe fundi vipi staki mtu anipikie ndizi.
Mwaka flan nilienda Bukoba basi nilivyofika tu wenyeji wakanikaribisha na sahani ya ndizi imechanganywa na samaki, kwa kua nilikua na ubao nikaipiga,

Asubuhi nakutana na ndizi zimechanganywa na maharage, mmh nikaipiga kibishi,

Mchana napewa ndizi zimechemshwa rost ya samaki pembeni, nikasema kazi ipo,

Usiku naletewa ndizi zina maharage + Samaki, mmh nikaona hapa nitakufa kwa njaa sababu me ndizi hua sipendi hivyo hata nikila sishibi,

Nilivyomaliza kula nikawaambia ukweli kua ndizi sipendi, walisikitika sana, wakajilaumu kwann hawakuniuliza kabla,

Kesho yake mchana likaangushwa pilau la kuku (my fav, [emoji39][emoji39]) nilikula mpaka nikahisi tumbo linapasuka.
 
Afu sijui kwanini zinapikwa jumamosi🤣🤣
Mama alikua anajua Hamna anaeyapenda so ikawa ni mlo wa Ijumaa kuu😂😂 kwamba msioweza kufunga mteseke na kande

So nikiona kande I feel like ni Ijumaa kuu
Na mpaka leo huo utaratibu upo kwa wasiofunga Ijumaa kuu ntapambana na kande zenu thou she cooks the best kande Zina nazi karot uweke na sukari weee....Ila sijawahi kaa kuzimiss kande

Jamani kabichi Sasa...naonaga mateso maybe kwenye chips tu
Bamia zimeanza kunishinda ukubwani...viazi vitamu ndo sili kabisa hata kwa fimbo
 
Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.

Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Itakua wapare na wasabato lol

Ila sijui nyie mi makande huwa naona ni chakula healthy sana tu kikubwa kipikwe kiwekewe vikorombwezo


Mf iwekewe mafuta,vitunguu peanut butter/nazi/maziwa na pilipili hiviiiii weweeee


Na mda wa kula unaweza ila na mango pickle
 
tuende mbele turudi nyuma..

ugali kabichi ni kula ili usife tyuu
Hahahaha inategemea na hio cabbage unaipikaje
Kwa kweli likipikwa chukuchuku kama salad huwa sili kabisaa nawaachia

Nikipika mwenyewe napenda niiunge cabbage na nyanya na nazi na royco kwa mbalii sana

Afu nile ugali/wali na cabbage maharage na nyama/kuku fried
 
"E="LadyRed, post: 33731420, member: 358507"]
Hahahaha inategemea na hio cabbage unaipikaje
Kwa kweli likipikwa chukuchuku kama salad huwa sili kabisaa nawaachia

Nikipika mwenyewe napenda niiunge cabbage na nyanya na nazi na royco kwa mbalii sana

Afu nile ugali/wali na cabbage maharage na nyama/kuku fried
[/QUOTE]"
hayo yote ni kuipamba tuu.. ule na ugali tenaaaa??

kabichi tuwaachie Kobe jamn..
 
"E="LadyRed, post: 33731420, member: 358507"]
Hahahaha inategemea na hio cabbage unaipikaje
Kwa kweli likipikwa chukuchuku kama salad huwa sili kabisaa nawaachia

Nikipika mwenyewe napenda niiunge cabbage na nyanya na nazi na royco kwa mbalii sana

Afu nile ugali/wali na cabbage maharage na nyama/kuku fried
"
hayo yote ni kuipamba tuu.. ule na ugali tenaaaa??

kabichi tuwaachie Kobe jamn..
[/QUOTE]
😂😂😂😂😂😂

Haki tena cabbage mi lazma iungwe nyanya bila hivyo basi iwekewe mayonaisse tule salad tu njue moja
 
Eti makande mabaya mkuu kile chakula habari nyingine hasa kande ikolee nazi na karoti.
Dada wewe unaonekana ni mtalaam wa mambo ya maakuli natamani.nije nipige lunch hapo kwako ili nithibitishe ubora..
Ukweli Mimi napenda makande sio utani ni.muda tu sina na mpishi sina ila huwa siyachoki hasa yakilala
 
Dada wewe unaonekana ni mtalaam wa mambo ya maakuli natamani.nije nipige lunch hapo kwako ili nithibitishe ubora..
Ukweli Mimi napenda makande sio utani ni.muda tu sina na mpishi sina ila huwa siyachoki hasa yakilala
Tafuta anayejua hutayachoka hasa yakolee nazi.
 
Tafuta anayejua hutayachoka hasa yakolee nazi.
Acha nionekane mshamba humu jf lakini ukweli napenda makende...
Kuna lile LA kijijini kipindi cha mvuno acha ile wanaita ngukuru...
Ile wanaweka nahidi machanga, maharange machanga, Karanga, na choroko... Halafu kuwe na maziwa mgando achana na haya ya tanga fresh..Yale yawe yakujingandishia..halafu kitu kiwe kimelala...mkuu hautasahau kurudi kijijini
 
Sio kiiivo nna mieziii sijayapika hapa home
Ila siyachukii

Ktk upishi iwekwe mafuta kiasi,kitunguu,peanut butter nazi na pilipili na chumvi na iachwe ichemke hadi mchuzi uwe ni mziiiitooo kabisaaa
Daah mmi naomba siku ukiyapita nikaribishe labda nitayapenda ila ya hapa hapana asee
 
Back
Top Bottom