naja kukusalimiaSiwezi pika kabichi wala makande aiseee.
Kabichi naikutaga kwenye chips tu.
By the way nimekumiss[emoji12][emoji12][emoji12]
naja kukusalimia
Kama hutajali Mkuu, weka hapa jamvini kilichokusibu hadi kuandika hayo!Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Mkuu hakuna zaidi ya experience nilioshare hapoKama hutajali Mkuu, weka hapa jamvini kilichokusibu hadi kuandika hayo!
Kwakweli hata mimi nayapenda sana tu. Nimeyamiss kesho lazima yahusike.Ninavyoyapenda makande nikila huwa nachelewa kushiba na nikishiba dakika 10 njaa tena umenikumbusha kesho napika.
[emoji3] [emoji3] kabichi haipendwi na watu wengiHahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
in life kuna mambo hayawi levelKama Umezaliwa Kwenye Family Inayojimudu Mengi Sana Huyajui, Makande Unasema Unakula Kwa Sababu Una Shida.
Kuwa Uyaone Siyo Maghorofa Ila Mchaka Mchaka Wa Maisha.
Kuna Mengi Sana Watu Wengi Sana Wakisema Wasimulie Unaweza Kubaki Mdomo Wazi
AiseeRaha ya makande ule yaliyoshinda siku moja (kiporo) ila ya siku ile ile hayavutii
Kama Umezaliwa Kwenye Family Inayojimudu Mengi Sana Huyajui, Makande Unasema Unakula Kwa Sababu Una Shida.
Kuwa Uyaone Siyo Maghorofa Ila Mchaka Mchaka Wa Maisha.
Kuna Mengi Sana Watu Wengi Sana Wakisema Wasimulie Unaweza Kubaki Mdomo Wazi
Mkuu kwahivo wewe unakula makande sababu una shida??? Mbona ni chakula kitamu sana au hujapata fundi wa kutatengeneza. Me nakipenda sana sema mpaka nirudi kijijini mama anipikie
Ndio chakula changu pendwa Sana pia cc wapare hiyo ndio pilau yetu pia Kuna kibulu mahindi mabichi na mharage mabichiYaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh