Jinsi ya kupika makande

Jinsi ya kupika makande

Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....

lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
 
Kama Umezaliwa Kwenye Family Inayojimudu Mengi Sana Huyajui, Makande Unasema Unakula Kwa Sababu Una Shida.
Kuwa Uyaone Siyo Maghorofa Ila Mchaka Mchaka Wa Maisha.
Kuna Mengi Sana Watu Wengi Sana Wakisema Wasimulie Unaweza Kubaki Mdomo Wazi
 
Hiyo mboga watu tulikula tu kwakuwa hali ya kifedha ilikuwa sio nzr, kiukweli sijui kama kunawatu wanaipenda ila mm sipendi kwakweli.
kebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....

Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....

Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia lipite
 
Hahahahaha Dah huna akili aiseeee dah! Hahahaahaa kule kwetu miaka hio wanayaweka Nazi na wanaunga na kitunguu! Na maziwa ya mtindi! Nitagonga plate mbili lakini saa nane usiku must njaa ikuume! Dah
Yaani hiki chakula tuseme tuu jamani,tulio wengi tunakilia shida

Halafu dada/mama zetu,hivi mkipika,ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana,tuyale jioni...na kesho tuyanywee chai duuh
 
Kama Umezaliwa Kwenye Family Inayojimudu Mengi Sana Huyajui, Makande Unasema Unakula Kwa Sababu Una Shida.
Kuwa Uyaone Siyo Maghorofa Ila Mchaka Mchaka Wa Maisha.
Kuna Mengi Sana Watu Wengi Sana Wakisema Wasimulie Unaweza Kubaki Mdomo Wazi
Na vyakula watu wanavyovilia kwa shida viko vingi tu, we unayajua makande tu. Kua uyaone!
 
Back
Top Bottom