Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujapata yaliyopikwa yakapikika Mkuu. Kila siku utatamani ule.Nawashangaa watu mnaosifia makande asee. Zingine ni ndizi. Pika ujuavyo sitakula
Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Duuh Hadi akaipasua[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Au aliegundua kama nazi inaliwa unadhan alikua na njaa kias gan?
Akaifua kwanza alafu akaipasua alafu hapo ukute alikwea mti wenye mita zaidi ya hamsini kuangua hio naz ya kupikia makandeDuuh Hadi akaipasua[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Tatizo sio kuyapika vizuri bibie shida sijazoea kuyala.. madude unakula yanakuangalia.Hujapata yaliyopikwa yakapikika Mkuu. Kila siku utatamani ule.
Mi yanachonikera ni kupata njaa muda mfupi baada ya kujiona nimeshiba mbaya.
Hahahaaa 😂😂😂Wewe mzaramo na makande wapi na wapi 😄😄
Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Pole sana kwa kutoyapenda.Tatizo sio kuyapika vizuri bibie shida sijazoea kuyala.. madude unakula yanakuangalia.
Kwanini yanaleta njaa mapema
Cabbage hapana aisee lile dude huwa silielewi.Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Eti makande mabaya mkuu kile chakula habari nyingine hasa kande ikolee nazi na karoti.
Mimi sijawahi jua kama yanaleta njaa mapema maana nikila nakula kidogo mno so lazima nisikie njaa. Ila kila mtu na preference zake asee...Pole sana kwa kutoyapenda.
Sijajua bado hata kinachofanya yalete njaa mapema.