Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hakika.Mimi sijawahi jua kama yanaleta njaa mapema maana nikila nakula kidogo mno so lazima nisikie njaa. Ila kila mtu na preference zake asee...
Mie ugali tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.Mimi sijawahi jua kama yanaleta njaa mapema maana nikila nakula kidogo mno so lazima nisikie njaa. Ila kila mtu na preference zake asee...
Mie ugali tu
AhsanteHakika
Ushapikiwa ndizi na samaki mkuu hasa sangara au sato? Acha mchezo kabisa😋Nawashangaa watu mnaosifia makande asee. Zingine ni ndizi. Pika ujuavyo sitakula
Nakwambia hakuna pishi la ndizi sijawahi kula. Sidhani kama kuna mkoa wanaojua pika ndizi kama mikoa ya huku kaskaz ila hapana zimenishinda. Weka nyama ya ng'ombe..k moto..samaki wapi. Toka mdogo sizipendi ndizi afu mbaya zaidi nikila tumbo linajaa na kuuma..Ushapikiwa ndizi na samaki mkuu hasa sangara au sato? Acha mchezo kabisa😋
Naomba kutuma application ya kukaribishwa. Mimi hayo nikila nimekaa siwezi kusikia yanaenda wapi. Hivyo nikipiga plate ya kwanza nasimama nazunguka nyumba nakuja naanza round 2, hivyo hivyo round 3, 4..... Mpaka nikisikia kuhema ni shida ndio na stop kama yatakuwa bado yamo kny sifuria[emoji23][emoji23][emoji23]Ninavyoyapenda makande nikila huwa nachelewa kushiba na nikishiba dakika 10 njaa tena umenikumbusha kesho napika.
wapareYaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Usiombe maana kama ni mda wa lunch utajiona live ukishinda njaa[emoji23][emoji23]Sipendi kwenda kwa mtu nikakuta wamepika huwa naona aibu kupakuwa maana naweza shindilia sahani wakanishangaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli kila mtu na akipendacho. Mimi kabeji naipenda sana sana sana. Uikaange vizuri na nyama ya ngombe au kuku kwa ugali au wali na pilipili pembeni! Wewe.....kebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....
Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....
Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia...
Hiyo kitu tamu asikuambie mtu.Nawashangaa watu mnaosifia makande asee. Zingine ni ndizi. Pika ujuavyo sitakula
Wewe hebu tuache, kande na samaki wapi na wapi [emoji23]Kande likipkwa vizuri tamu kinoma liwekewe nyama au samaki
hahaaaaaaa kebich hili hili?Kabichi na wali wa nazi daaaah. Unalikuta kaavuu limepikwa na kitunguu, carrot na hohi. Lazima ujirambe
Nilikuwa sipendi Sushi. Silky moja rafiki yangu akaniambia tupite sehemu kiukweli sikujuta ile sushi ilikuwa tamu balaa.Nakwambia hakuna pishi la ndizi sijawahi kula. Sidhani kama kuna mkoa wanaojua pika ndizi kama mikoa ya huku kaskaz ila hapana zimenishinda. Weka nyama ya ng'ombe..k moto..samaki wapi. Toka mdogo sizipendi ndizi afu mbaya zaidi nikila tumbo linajaa na kuuma..
Kama chakula fulani kinaitwa Sushi. Kilinitapikisha asee
[emoji28][emoji28][emoji28]mmhh.....paja la samaki???Yalibuniwa na chifu Wa kauzu,sema makande mazuri ni ya KFC unakuta na paja LA samaki ndani yake,miguu ya kokoliko na juisi kola ya bariidi huwezi kujuta kabisa mkuu.
Mkuu kila anayesema analipenda, basi anataja na kitu kitakachoipa support na lazima hicho kitu kiwe kizuri,Kweli kila mtu na akipendacho. Mimi kabeji naipenda sana sana sana. Uikaange vizuri na nyama ya ngombe au kuku kwa ugali au wali na pilipili pembeni! Wewe.....
Kuna mkenya mmoja anayauza hapa Ohio Cleveland ni matamu balaa.[emoji28][emoji28][emoji28]mmhh.....paja la samaki???