Jinsi ya kupika makande

Jinsi ya kupika makande

Hahahahaaa, makande bana kama CHADEMA yanachukiwa tu bila sababu.
Kwangu home yanapikwa kama chakula cha adhabu siku watoto wakimwaga/kuringa chakula kizuri, basi watanuna vibaya na muda wa kula kila mmoja amenuna na ameshiba, kiukweli huwa wanalala njaa siwabembelezi.
 
kebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....

Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....

Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia...
[emoji3] [emoji3] , kabeji siyo kabisa, afu linasave cost hiloo nusu yake mnakula siku 2 aisee, nilikua nakasirika home mama sometimes anachanganya na nyama duh, nilikua naona anaharibu mboga nyama, nilikua nadonoa vinyama nyama naishia zanguu[emoji30]
 
Back
Top Bottom