Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I will press my orderNaweza
Very nutritious. Kwa watu wenye damu (hb) ndogo ukinywa hii juice hb inapanda kwa kasi ya 5GUnatak niletee hiyo?
Hiyo apoNakaa mbali ningekuletea Ile huw na maziwa hivo sio nzuri sana kukaa mdamrefu bila kuwa na kaubarid
Yaan, Hailet unene hii??Inaekea unaipenda
Sitaki kuongeza unene nilio nao.Kwakweli Sina hakika,hutak kunenepa?
Safi sana kwa wazee wa kigetogeto huu ni msosi mmoja mujarabu sana, naomba mfululizo wa mapishi kama haya simple yaendeleeNatumaini mkopoa
Wapenz wa ndizi ,Ndizi mzuzu zikiiva msitupe
Leo nimewaletea recipe hii ya kupika ndizi mzuzu zilizoiva za Nazi
MAHITAJI
Naz
Ndiz zilizoiva
Iriki iliyosagwa ama nzima
Sukari kama hupendi tumia chumvi
Hatua ya kwanza
Menya ndizi kata vipande vinne
Kama unatumia Nazi ya kawaida chuja tui la kwanza zito (bubu)na tui la pili weka pekeyake
Kama unatumia ya pakti bas andaa Nazi Yako weka maji kidogo kwakuwa huwa nzito sana
Hatua ya pili
Bandika sufuria ama pan weka ndiz zako Kisha weka tui la Nazi
La pili lile jepes kama unatumia Nazi ya pakti weka maji(maji yasiwe mengi)Kisha weka iriki funika acha ichemke had maji yakikauka
Hatua ya Tatu
Maji yakikauka weka sukari kma hupendi weka chumvi Kisha mimina tui la lile zito tikisa sufuria taratibu had vichanganyike usikoroge koroge na mwiko vitapondeka acha vichemke Kwa dakika 5 zitakuwa tayari View attachment 3099784View attachment 3099785View attachment 3099786
KaribuSafi sana kwa wazee wa kigetogeto huu ni msosi mmoja mujarabu sana, naomba mfululizo wa mapishi kama haya simple yaendelee
Yanatufaa wengi sana, maana wengine tumekariri dagaa mchele na ugali tu, tukibadilisha sana Wali wa Pressure cooker na Maharage ya kupima kwa Mama Ntilie😂
Haha😃😂😂😋😋 Wifi zinavutia
Wavivu sasa kazi ipo!!
Huu mwaka nijitahidi nishinde jikoni walau nijue kuchemsha hata maji y’a kuoga 🤣🤣🤣