Jinsi ya kupika tambi

Duuuh sijui ntatoa wap elfu tano ya soseji nipike hvyo
ukiona buku tano inakuwa ngumu mama,,,fanya hivi,nenda kibanda cha chips,nunua chips soseji lkni mwambie hizo sosej ziwe mbichi kabisa ha rudi zako home chipsi tupa kula deal na sosej sasa hahahahahahaha..maana huku tano nyingi joh....
 
Kwann Hzo Tambi Za Santa lucia Imeandikwa Inauzwa Kwa Tanzania Tu?Au Ni Plastiki?Mwenye Jibu Atusaidie
 
Iki kweli kizazi cha nyoka...yani m na mdogo wangu wa darasa la 4 ndo anatupikia...icho chakuka kwake n chepesi sana sasa ugali wa muhogo kweli utaweza ata songa mkuu?..vijana tuamke aya mambo ya marice cooker yanaharibu vijana# plus utozi na usister du# mwingine anasema tambi zinaoshwa my ribs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mapishi ni mpya kwangu. Unaanza kukaanga karoti kisha ndo uweke vitunguu??!
 
Oya wazee msaada kwenye Tuta Hapo niko na mwanangu anang'ang'ania Tambi nyama sijawahi pika na sijui wanapika au wanakaanga msaada wandugu

Mtaalamu shusha uzi hapa huenda sio Mimi tu nisojua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…