Jinsi ya kupika tambi

Shukrani sana mkuu
 
pia kuna style hii, ukichemsha tambi zako unaweka mafuta kwa mbali au unachemsha ukiwa umeweka nazi ya azam/yoyote. Mayai yanachemshwa mda ambao tambi zinachemshwa kisha yakiiva yanakatwa vipande na kuungwa kama mboga (unakaanga vitunguu,karoti,hoho,nyanya kisha unatia vipande vya mayai) italiwa na tambi.
 
Salaam wanajamvi

kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
nimekaa huku ndani najskia njaa na mtaani kwangu sehemu ya kula iko mbali kidogo.

nilichonacho ndani ni pakiti za tambi na mchele ila vyote sijui kupika

sasa najiskia kupika tambi naombeni mnielekeze
 
Chukua tambi zako chemsha mpaaka ziwe zimelainika, zitoe na uziweke kwenye chombo kingine na kuziacha zichuje maji, then chukua sufuria nyingine weka jikoni then weka nazi au mafuta kiasi kidogo kama vijiko v3 then chukua hiliki zisage na kuchanganya kiasi kidogo cha sukari weka, then baada huo mchanganyiko kuchemka kidogo ingiza zile tambi zako na kuzichanganya taratibu ili zisivurugike kama dakika 3 zinatosha, ipua pakua kwenye sahani. Hapo tambi zako ziko tayari kuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…