Jana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo
Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!
Natamani nipike tena.
Duuuh sijui ntatoa wap elfu tano ya soseji nipike hvyoJana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo
Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!
Natamani nipike tena.
mie nitatoa hiyo elfu5Duuuh sijui ntatoa wap elfu tano ya soseji nipike hvyo
Mimi nilimaliza kuchemsha nikakaanga nyaya, karoti, hoho na pilipili kikawa hivyo..
Tuma basi niandae tule[emoji39] [emoji39]mie nitatoa hiyo elfu5
ila itabidi nionje hayo mapishi
maana nilivyotamani hapa naona nachelewa kusubiri weekend nikiwa nimetulia
Tumia utumbo mwembamba wa mbuzi au ng'ombe, hakikisha unachemsha utumbo kwanza ndio baadae ufanye mbwembwe. Saasawa kijanatulioko sitimbi hatuna access na soseji je hakuna mbadala?
embu weka picha ya Julian naona umemtaja Mara nyingiJana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo
Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!
Natamani nipike tena.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Numbisa kazi kwakoembu weka picha ya Julian naona umemtaja Mara nyingi
tulioko sitimbi hatuna access na soseji je hakuna mbadala?
Tumia utumbo mwembamba wa mbuzi au ng'ombe, hakikisha unachemsha utumbo kwanza ndio baadae ufanye mbwembwe. Saasawa kijana
Jana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo
Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!
Natamani nipike tena.
Utumbo raha kwenye pressure cooker yani dakika 20 unakua mlaini kama mainiHahahaha jaman utumbo unachukua muda mrefu sana kuiva bora maini au figo hata nyama steki
Utumbo raha kwenye pressure cooker yani dakika 20 unakua mlaini kama maini