Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Waaow hongera,umenitamanisha kweli
Jana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo
Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!
Natamani nipike tena.