Jinsi ya kupika tambi

Jinsi ya kupika tambi

Waaow hongera,umenitamanisha kweli
Jana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo

Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!

Natamani nipike tena.
 
Jana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo

Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!

Natamani nipike tena.
Duuuh sijui ntatoa wap elfu tano ya soseji nipike hvyo
 
4ff7a59535c7f4d9fe3e9a850ec71705.jpg


Mimi nilimaliza kuchemsha nikakaanga nyaya, karoti, hoho na pilipili kikawa hivyo..
 
Jana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo

Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!

Natamani nipike tena.
embu weka picha ya Julian naona umemtaja Mara nyingi
 
Hahahaha jaman utumbo unachukua muda mrefu sana kuiva bora maini au figo hata nyama steki
Tumia utumbo mwembamba wa mbuzi au ng'ombe, hakikisha unachemsha utumbo kwanza ndio baadae ufanye mbwembwe. Saasawa kijana
 
Jana nilikula [emoji115]kitu aiseeh..sema mimi yangu ilikuwa na nyama ya kusaga alooo

Nilichanganya viongo kama vitunguu nilikata julian,carrot pia julian,nyanya niliblend,hoho nilikata julian pia,soy source,black pepper aiseeh niliufurahia [emoji115]msosi sana kwa jana loh!!!

Natamani nipike tena.

Acha uchoyo weka Uzi umu,..mate yashanjaza
 
Back
Top Bottom