Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Mambo zenu wakuu leo nitafundisha jinsi ya kupika ugali.
Fuata Steps Hizi
MAHITAJI
Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..
Step 1
Sikia Injika sufulia yako jikoni ikiwa na maji yenye unga kidogo. hakikisha maji utayoweka yatakutosha.Pia hakikisha moto unakua sio mwingi ni wastani.
Step 2
Haya anza kukorogea hadi pale maji yatapochemka na kua uji uji unaotokota.
Step 3
Umeshafanikiwa step 2? ,Haya weka unga kiasi kwenye sufuria huku ukianza kuusonga taratiiibu na ubanio. Staili ya kuusonga ni kama unauminya huku unauzungusha kwa mwiko.
Step 4
Utaona mabadiliko ule uji utakua mgumu kila unapoendelea kuusonga.Ukishaona mabadiliko Hayo jua ndo ivo tena ugali umeshaiva.
Step 5 (Mwisho)
Andaa Sahani au hotpot kisha uipue ugali wako.
HONGERA! Nguna ipo tayari kuliwa na mboga yoyote ile uliyoiandaa,inaweza ikawa samaki wa kukaanga or whatever.
Asanteni
Fuata Steps Hizi
MAHITAJI
Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..
Step 1
Sikia Injika sufulia yako jikoni ikiwa na maji yenye unga kidogo. hakikisha maji utayoweka yatakutosha.Pia hakikisha moto unakua sio mwingi ni wastani.
Step 2
Haya anza kukorogea hadi pale maji yatapochemka na kua uji uji unaotokota.
Step 3
Umeshafanikiwa step 2? ,Haya weka unga kiasi kwenye sufuria huku ukianza kuusonga taratiiibu na ubanio. Staili ya kuusonga ni kama unauminya huku unauzungusha kwa mwiko.
Step 4
Utaona mabadiliko ule uji utakua mgumu kila unapoendelea kuusonga.Ukishaona mabadiliko Hayo jua ndo ivo tena ugali umeshaiva.
Step 5 (Mwisho)
Andaa Sahani au hotpot kisha uipue ugali wako.
HONGERA! Nguna ipo tayari kuliwa na mboga yoyote ile uliyoiandaa,inaweza ikawa samaki wa kukaanga or whatever.
Asanteni
