ulishika ukutani lakini??:lol::lol::lol::lol::lol:
Ulishika bibi eeeeh na ukawa mtamu nkala mpaka nkavimbiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulishika ukutani lakini??:lol::lol::lol::lol::lol:
una koko juu huo itakuwa uliachwa kwenye sufuria kicha ukaweka sahanini yaani kama sufuria ikageuzwa!!
Print hii weka pembeni tayari kwa kuifanyia kazi ili nawe uwe mahiri kwenye idara hii pia.
Ugali na chumvi leo hamna samaki tafuta glasi ya maji ushushie :lol::lol::lol:Yeah yawezekana alafu samaki mboba hayupo? Lol
ha ha ha lol wanasema ukitaka kucheki ugali ka umeiva upige ukutani ukishika ujue kitu na box!!
Itabidi ashushie na mlenda!!!Huu ugali ukiula..ukati gogo wiki nzima na siku ukikata gogo itabidi wakuchome sindano za ganzi makalioni...maana utakuwa kama unajifungua leba.....
Huu ugali ukiula..ukati gogo wiki nzima na siku ukikata gogo itabidi wakuchome sindano za ganzi makalioni...maana utakuwa kama unajifungua leba.....
Haaa hio sijaribu mikono yenyewe softisofti hii....maana ukitoka jikoni tu wakati wakuula kila ukikata tonge wapuliza na vidole!!!!Mie niliambiwa unakata size ya tonge lako na kuuweka mkononi huku umekunja ngumi kwa nguvu. Ukiweza kuhesabu 1 mpaka 10 bila kuungua na hivyo kuifungua ngumi yako basi ni mbichi na kama umeiva hufikishi 10. Zoezi lifanywe mara tu baada ya kuusonga.
Haaa hio sijaribu mikono yenyewe softisofti hii....maana ukitoka jikoni tu wakati wakuula kila ukikata tonge wapuliza na vidole!!!!
kabisaa umewiva
Ugali nausonga fresh lkn habari ya kuungua no thanks.....🙂Wacha weeee mtoto softiiii me naweza hiyo mana nshakua sugu kwa moto lol
Kabisa unadundaaa!!!Hio kitu ukimpiga nayo ya uso unamng'oa shavu
Haaa hio sijaribu mikono yenyewe softisofti hii....maana ukitoka jikoni tu wakati wakuula kila ukikata tonge wapuliza na vidole!!!!
Kama machicha iyo picha si ya kwake lakini kaipata tu mahala
Hio kitu ukimpiga nayo ya uso unamng'oa shavu