mambo zenu wakuu leo ntafundisha jinsi ya kupika ugali
Fuata Steps Hizi
MAHITAJI
Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..
Step 1
Sikia Injika sufulia yako jikoni ikiwa na maji yenye unga kidogo. hakikisha maji utayoweka yatakutosha.Pia hakikisha moto unakua sio mwingi ni wastan.
Step 2
Haya anza kukorogea hadi pale maji yatapochemka na kua uji uji unaotokota.
Step 3
Umeshafanikiwa step 2? ,Haya weka unga kiasi kwenye sufuria huku ukianza kuusonga taratiiibu na ubanio. Staili ya kuusonga ni kama unauminya huku unauzungusha kwa mwiko.
Step 4
Utaona mabadiliko ule uji utakua mgumu kila unapoendelea kuusonga.Ukishaona mabadiliko Hayo jua ndo ivo tena ugali umeshaiva.
Step 5 (Mwisho)
Andaa Sahani au hotpot kisha uipue ugali wako.
HONGERA! Nguna ipo tayari kuliwa na mboga yoyote ile uliyoiandaa,inaweza ikawa samaki wa kukaanga or whatever.
Asanteni
View attachment 229008