Jinsi ya kupika UGALI Fasta Fasta (Full Steps)

Jinsi ya kupika UGALI Fasta Fasta (Full Steps)

mambo zenu wakuu leo ntafundisha jinsi ya kupika ugali

Fuata Steps Hizi

MAHITAJI

Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..

Step 1

Sikia Injika sufulia yako jikoni ikiwa na maji yenye unga kidogo. hakikisha maji utayoweka yatakutosha.Pia hakikisha moto unakua sio mwingi ni wastan.

Step 2
Haya anza kukorogea hadi pale maji yatapochemka na kua uji uji unaotokota.

Step 3

Umeshafanikiwa step 2? ,Haya weka unga kiasi kwenye sufuria huku ukianza kuusonga taratiiibu na ubanio. Staili ya kuusonga ni kama unauminya huku unauzungusha kwa mwiko.

Step 4

Utaona mabadiliko ule uji utakua mgumu kila unapoendelea kuusonga.Ukishaona mabadiliko Hayo jua ndo ivo tena ugali umeshaiva.

Step 5 (Mwisho)

Andaa Sahani au hotpot kisha uipue ugali wako.

HONGERA! Nguna ipo tayari kuliwa na mboga yoyote ile uliyoiandaa,inaweza ikawa samaki wa kukaanga or whatever.

Asanteni

View attachment 229008

Hiyo sahani uliuotumia imenikumbusha mbaali sanaa daa hapo zamani ilikuwa raha sana.
 
Haujawahi kupika ugali?sasa nikija kwako nitakuwa nakula nini na mie chakula changu ugali???🙁😀

Hahahhahha utakula vyengine vya ki nyumbani lol. ...utajiramba vidole hadi vikatike...
Ila si km sili ugali...jana tu nimetoka kuupiga ila mpishi si mimi
 
Hujawahi pika je unakula ugali?

Sanaaa jana nimeupiga na mchicha +kibua ...safiii
Ukweli naona na najua unavyopika ila mm tu kukaa nikapika sijawahi sababu kuna wataalamu zaidi yangu nawaacha wafanye kazi yao.. siku wakiwa hawapo labda ndo ntaisoma namba...lol
 
Sanaaa jana nimeupiga na mchicha +kibua ...safiii
Ukweli naona na najua unavyopika ila mm tu kukaa nikapika sijawahi sababu kuna wataalamu zaidi yangu nawaacha wafanye kazi yao.. siku wakiwa hawapo labda ndo ntaisoma namba...lol

Mie kusonga wa kwangu tu nasonga bibi nkala ukanipata ila ukizidi wa watu wa 3 hapana nguvu izo sina siku nkajitia hashuo namwambia mama aniachie me nsonge alafu ulikua wa nyumba nzima lol nliishia njiani
 
Somo zuri na linaeleweka kirahisi sana,pia huku niliko north America huwatunaletewa unga wa sembe tokea South America nafikiri ni nchi ya Colombia ambayo ni wakulima wakubwa sana wa mahindi sisi ni opposite yenu,tunaletewa unga ambao uko pre-cooked yaani wewe unachohitaji ni maji ya moto pamoja na mwiko wa aina yeyote ule unatia unga wa kutosha ndani ya sufuria la maji yanayochemka na halafu unaanza kuchanganya na kuuzunguusha,dakika moja tuu utaona ugali tayari umeisha tokea,utaalamu wa kuufanya hivyo ni vizuri kama mtu ataupeleka nyumbani ili kuwasaidia watu wengi hususani wale wanaoishi peke yao.Mr.Murage
 
mambo zenu wakuu leo ntafundisha jinsi ya kupika ugali

Fuata Steps Hizi

MAHITAJI

Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..

Step 1

Sikia Injika sufulia yako jikoni ikiwa na maji yenye unga kidogo. hakikisha maji utayoweka yatakutosha.Pia hakikisha moto unakua sio mwingi ni wastan.

Step 2
Haya anza kukorogea hadi pale maji yatapochemka na kua uji uji unaotokota.

Step 3

Umeshafanikiwa step 2? ,Haya weka unga kiasi kwenye sufuria huku ukianza kuusonga taratiiibu na ubanio. Staili ya kuusonga ni kama unauminya huku unauzungusha kwa mwiko.

Step 4

Utaona mabadiliko ule uji utakua mgumu kila unapoendelea kuusonga.Ukishaona mabadiliko Hayo jua ndo ivo tena ugali umeshaiva.

Step 5 (Mwisho)

Andaa Sahani au hotpot kisha uipue ugali wako.

HONGERA! Nguna ipo tayari kuliwa na mboga yoyote ile uliyoiandaa,inaweza ikawa samaki wa kukaanga or whatever.

Asanteni

View attachment 229008

Mbona hauna shape,na una scarface,huo sio usongaji wa ugali,ugali ukisongwa ili ujue umeiva hutoa presha na kutoa harufu ya kuungulia halafu unakuwa hauna makovu kama huu uliotuletea hapa,unatakiwa uwe smooth bila mipasuko,yafaa upewe talaka kwa kutuletea ugali wa kisukuma humu JF
 
Back
Top Bottom