utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,667
Nakuhc Hc Kijana Kama Nakupata
Hapana, mimi sio polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuhc Hc Kijana Kama Nakupata
Shem ugali unapikwaje??
Nakuhc Hc Kijana Kama Nakupata
mambo zenu wakuu leo ntafundisha jinsi ya kupika ugali
Fuata Steps Hizi
MAHITAJI
Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..
Step 1
Sikia Injika sufulia yako jikoni ikiwa na maji yenye unga kidogo. hakikisha maji utayoweka yatakutosha.Pia hakikisha moto unakua sio mwingi ni wastan.
Step 2
Haya anza kukorogea hadi pale maji yatapochemka na kua uji uji unaotokota.
Step 3
Umeshafanikiwa step 2? ,Haya weka unga kiasi kwenye sufuria huku ukianza kuusonga taratiiibu na ubanio. Staili ya kuusonga ni kama unauminya huku unauzungusha kwa mwiko.
Step 4
Utaona mabadiliko ule uji utakua mgumu kila unapoendelea kuusonga.Ukishaona mabadiliko Hayo jua ndo ivo tena ugali umeshaiva.
Step 5 (Mwisho)
Andaa Sahani au hotpot kisha uipue ugali wako.
HONGERA! Nguna ipo tayari kuliwa na mboga yoyote ile uliyoiandaa,inaweza ikawa samaki wa kukaanga or whatever.
Asanteni
View attachment 229008
Soon nitakuja kukutembelea michicha yako siitaki kabisaa.Kitu cha kwanza andaa visheti vyakuwa natafuna mda wote😀
Hahhahaha karibu...vya kiomani au vya kipemba??....au vikokoto vile hadi ukimaliza kutafuna meno yanaomba pooo..lols
Uwezo wako tu my dia.Wewe utakavyoweza mie nitaridhika Mrs Kharusy
Hahhahaha unasema tu lkn ukikutana na vile vigumu km vikokoto lazima uje unianzishie thread hapa lol
Mbona hauna shape,na una scarface,huo sio usongaji wa ugali,ugali ukisongwa ili ujue umeiva hutoa presha na kutoa harufu ya kuungulia halafu unakuwa hauna makovu kama huu uliotuletea hapa,unatakiwa uwe smooth bila mipasuko,yafaa upewe talaka kwa kutuletea ugali wa kisukuma humu JF
haki ya nani umenifurahisha sana, yani we umepika kiuhalisia sio wale wanao google vyakula ambavyo hawajawahi
hata kusikia halufu yake wanatuletea hapa, mi hiyo sahanim kwanza nimechoka yani unakula ugali + kutu, halafu kwa
mbali naona kabisa ugali mbichi kabisa huo. ila hongera you made ma day.
Mie niliambiwa unakata size ya tonge lako na kuuweka mkononi huku umekunja ngumi kwa nguvu. Ukiweza kuhesabu 1 mpaka 10 bila kuungua na hivyo kuifungua ngumi yako basi ni mbichi na kama umeiva hufikishi 10. Zoezi lifanywe mara tu baada ya kuusonga.
haku akitu rahisi kama ugali,mi wali ndio nabahatisha ,njoo nikufundisheHahahaha ule ugari wa juzi nlifanya ujanja huo mana me ugari upishi wake nababaisha tu sinaga ujuzi
haku akitu rahisi kama ugali,mi wali ndio nabahatisha ,njoo nikufundishe
Hahahaha BAK alishauri nifanye mazoezi nshaweza thanks iyo nafasi ya mafunzo mpatie mwengine lol
Jaan karibu nimejifunza leo....lol... nakutania km kawa ugali nipikiwe
Nimeula ki kussum style leo...