Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kachukue form brela bei 5000 kisha jaza jina, objectives,na address. Ukirudisha unapewa jina lako uliloomba, nashangaa hawa jamaa hawatoi cheti ambacho kingekuwa uthibitisho wa kusajili
HIVI NIKWELI HAWATOI CHETI?
 
Vipi ukisajiri business name online cheti unakipataje? pia nikisajir B/name alafu nikawa sina mtaji naweza kaa hata mwaka ndo nikaanza biashara? vip TRA hawawez kuhesabu siku za kulipia toka siku ya kusajili?
 
una uhakika gani kama huyo binti ana nyodo?
ulishawahi kumuona?
au tu unataka tujue unajuana na ceo wa brela?

je kama mtoa post ya huyo binti ana kisasi chake personal wewe unaingilia tu bila tu kuhoji
unajiita GT mkuu kwa hili?

Jaman muwe makini na ajira za watu msimwage ugali wawengine
 
si kweli,ukweli ni kwamba cheti hutolewa
Mkuu Singo ili kusajili Limited Company, mtaji wa chini unaoruhusiwa ni kiasi gani? Pia tupe faida za sole proprieter vs Limited Company and vise Versa.
 
Mkuu Singo ili kusajili Limited Company, mtaji wa chini unaoruhusiwa ni kiasi gani? Pia tupe faida za sole proprieter vs Limited Company and vise Versa.
Mtaji wa chini ni Milioni Moja, ila sikushauri usitumie mtaji huu,anzia hata na Million ,japo unaweza aza na mtaji mdogo baadae ukaongeza ,lakini memorandum and articles ya awali haitabadilika ila uta file special resolution pamoja na form ya kuongeza mtaji, kwa hiyo kujua au kuthibisha kwamba mtaji umeongezeka itakuwa kwa majibu ya barua ya official search inayotoka kwa msajili.

Sole propiator ama businessname inasajiliwa kwa hela ndogo, hausishi kuandaa memorandum and articles ambayo kama mtaalam atakuandalia itabidi umlipe, pia huwasilisha mahesabu ya kila mwaka TRA yanayoandaliwa na muhasibu Faida za limited ni kwamba unaweza fanya shughuli mbalimbali kwa company moja ilimradi objectives zimeainishwa kwenye memorandum,pia kuna baadhi ya biashara ambayo huwezi kufanya bila kuwa limited company,company inahusika kama yenyewe kwa sababu company is legal person hivyo hata kama ni kufilisi zinafilisiwa mali za company na si za mtu ambazo hazija orodheshwa kama ni za company,pia hata kama ni mahakamani company inaweza mtumia mwanasheria kuiwakilisha wakati kwenye sole propriatorship mwenye biashara ndiyo huhusika zaidi.

Zaidi ya wapo kuna wataalam wengine humu wataongozea
 
Mkuu nataka kuanzisha entertainment company please nishauri hii naanzia brela pia?
 
Naombeni msaada ndugu zangu mwenye taarifa sahihi au ujuzi juu ya kusajiri biashara/jina la kampuni brela kwa njia ya mtandao
 
Ingia brela halafu fungua account ya email. Ukishamaliza fuata maelekezo.

Niliwahi kusajili jina na nikalipa ada ya usajili kwa M pesa, na baada ya siku mbili wakanigumia certificate of registration kwa njia ya email nikaiprint.

So it works, komaa na laptop yako tu.
 
UNATAKA KUSAJILI BIASHARA KAMA KAMPUNI AU MMILIKI BINAFSI?....MAANA KUNA CLEARENCE OF COMPANY NAME NA CLEARENCE YA BUSINESS NAME....UTARATIBU UKISAJILI KAMPUNI MWISHO UTAPEWA CERTIFICATE OF INCORPORATION NA UKISAJILI JINA LA BIASHARA TU UTAPEWA CERTIFICATE OF REGISTRATION...
 
Vipi kuhusu kusajili kampuni ya nje ya nchi ya utaftaji madini.(mineral exploration company), procedures zake zinakuwaje mpaka kuanza operations?. Asante
 
Habari zenu,
salamu kutoka Italy,
nataka kusajili campuni mpya Tanzania, nimeangalia website ya BRELA na katika downloads zao, kuna sample ya Memorandum.
Sasa wasiwasi linakuja kwasababu nikiangalia property ya ile File Word, inaonekana imeandikwa mwaka 2007 wakati mimi mwaka
Usajili 1.JPG
2014 nimeisajili campuni na kichwa cha juu kilikuwa tofauti.
Naambatanisha picha mbili, ya kwanza ni mfano ambao umewekwa kwnye website ya BRELA, ya pili ni ile niliyotumia mwaka 2014.

Maombi yangu kwenu ni kama kuna mtu anajua siku hizi unatumiwa utaratibu upi.
Yaani right picha ni namba 1 au namba 2?
Ahsanteni sana.
Giuseppe Zingaro
Usajili 1.JPG
Usajili 2.JPG
 
Wakuu Salama.
Naombeni mnisaidie Taratibu za kuanzisha kampuni binafsi yenye mtaji wa Chini ya Milioni 10
Natanguliza Shukrani na Heshima kubwa kwenu.
 
Ok pitia kwanza tovuti ya brela, usipielewa uje uulize.
 
Back
Top Bottom