Jinsi ya kushinda kesi Mahakamani kwa kutumia "Plan B"

Then you should be banned from driving indefinitely.

Hata kuendesha baiskeli ya mbao marufuku kwa sababu utakuwa unayaweka maisha ya wengine hatarini.

kweli kabisa... ila kuridhika kazi ujue
 
Angalia muda uliopewa kwenye masharti, ni usiku wa saa 7 hadi 9. Mda huo nina uhakika jiji la Dsm halinaga foleni. :tongue:

Muda huo ndo alibino wanakuwa katika hali ya hatari.
 
Mimi nikajua nitakuta some proved legal tactics kitoka kwa mleta mada...

Kumbe, utumbo.

Cc EMT
 
Last edited by a moderator:
Reactions: EMT
Wenyewe nani? Wanamiliki hayo makanisa au wanaoenda huko kupata upako?

Hii lugha ilianzishwa na wamiliki ya hayo makanisa bila shaka na waumini wao wanaielewa
 

unatufundisha ushirikina hadharani??
 
Kama ungekuwa unatumia verified user ingekuwa rahisi kuanza na wewe ili kupambana na mauaji ya albino.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…