Jinsi ya kushinda kesi Mahakamani kwa kutumia "Plan B"

Jinsi ya kushinda kesi Mahakamani kwa kutumia "Plan B"

Then you should be banned from driving indefinitely.

Hata kuendesha baiskeli ya mbao marufuku kwa sababu utakuwa unayaweka maisha ya wengine hatarini.

kweli kabisa... ila kuridhika kazi ujue
 
Angalia muda uliopewa kwenye masharti, ni usiku wa saa 7 hadi 9. Mda huo nina uhakika jiji la Dsm halinaga foleni. :tongue:

Muda huo ndo alibino wanakuwa katika hali ya hatari.
 
Mimi nikajua nitakuta some proved legal tactics kitoka kwa mleta mada...

Kumbe, utumbo.

Cc EMT
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Wenyewe nani? Wanamiliki hayo makanisa au wanaoenda huko kupata upako?

Hii lugha ilianzishwa na wamiliki ya hayo makanisa bila shaka na waumini wao wanaielewa
 
Hapa naamini ni jukwaa mchanganyiko na hoja pamoja na mijadala ya kila namna hujadiliwa hapa.

JINSI YA KUFUTA/KUSHINDA KESI KWA KUTUMIA SAYANSI YETU WAAFRIKA.

mahitaji

-mvinje/mwanzi wa njano.
-Yai la kuku wa kienyeji
-maji ya baharini au ya kwenye maporoko..
-jembe lililotumika.
-jina la aliyekushtaki au hakimu au mwendesha mashtaka.
-udi(4 sticks).

hatua za kufuata

1. Ikiwa usiku tulivu wa saa 7 hadi 9 chukua yai lako na ubani kisha ingia chumbani ambako kumetulia na hakuna mtu zaidi yako.

2. Choma udi njiti zote nne kisha shika yai lako huku ukinuizia kwa kutaka kesi yako ifutwe au hukumu itoe upendeleo kwako na kumtaja mshtaki wako au hakimu au mwendesha mashtaka kwa jina kuwa alegeze moyo na asione umuhimu wa kesi hiyo.

3. Kisha chukua yai hadi porini na ukachimbe shimo kwa jembe uliloliandaa(lisiwe jipya) kisha fukia yai hilo ulilonuizia maneno yako.

4. Chukua kipande cha mvinje au kipande cha mwanzi wa njano(kumbuka hii ni aina ya mianzi) na uchomeke eneo ulikochimbia yai na uondoke pasipo kugeuka nyuma hadi chumbani ulikowasha udi pale mwanzo.

Ni sayansi yetu tu waafrika japo wengne watakuja kudhihaki hapa kwa maneno kama yesu, vigagula nk.

Kama hauko interested unapitaaaaaa!!!!!

unatufundisha ushirikina hadharani??
 
Hapa naamini ni jukwaa mchanganyiko na hoja pamoja na mijadala ya kila namna hujadiliwa hapa.

JINSI YA KUFUTA/KUSHINDA KESI KWA KUTUMIA SAYANSI YETU WAAFRIKA.

mahitaji

-mvinje/mwanzi wa njano.
-Yai la kuku wa kienyeji
-maji ya baharini au ya kwenye maporoko..
-jembe lililotumika.
-jina la aliyekushtaki au hakimu au mwendesha mashtaka.
-udi(4 sticks).

hatua za kufuata

1. Ikiwa usiku tulivu wa saa 7 hadi 9 chukua yai lako na ubani kisha ingia chumbani ambako kumetulia na hakuna mtu zaidi yako.

2. Choma udi njiti zote nne kisha shika yai lako huku ukinuizia kwa kutaka kesi yako ifutwe au hukumu itoe upendeleo kwako na kumtaja mshtaki wako au hakimu au mwendesha mashtaka kwa jina kuwa alegeze moyo na asione umuhimu wa kesi hiyo.

3. Kisha chukua yai hadi porini na ukachimbe shimo kwa jembe uliloliandaa(lisiwe jipya) kisha fukia yai hilo ulilonuizia maneno yako.

4. Chukua kipande cha mvinje au kipande cha mwanzi wa njano(kumbuka hii ni aina ya mianzi) na uchomeke eneo ulikochimbia yai na uondoke pasipo kugeuka nyuma hadi chumbani ulikowasha udi pale mwanzo.

Ni sayansi yetu tu waafrika japo wengne watakuja kudhihaki hapa kwa maneno kama yesu, vigagula nk.

Kama hauko interested unapitaaaaaa!!!!!
Kama ungekuwa unatumia verified user ingekuwa rahisi kuanza na wewe ili kupambana na mauaji ya albino.
 
Back
Top Bottom