morphine
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 3,504
- 1,093
that means hakuna kuovertake wala kuingia kulia wala kushoto unajichomeka .. kwa kifupi kujitoa muhanga
Sasa naanza kupata picha, kuna aina ya watu unaweza pishana nao usiku hasa jiji la Dsm. Wanaendesha gari utadhania wanawahisha mgonjwa hospital kumbe wanawahi kuongea na mayai, ebooo :heh: