Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Ubinafsi huo sasa.....wew mbona hukuleta ili jambo pm uliamua kuliweka hapa kila mtu ajue kwanini nawao wanashindwa kuleta matokeo hapa wanakupelekea huko pm.......selfish is here i feel it
wanakuja P.M mkuu, hawaleti feedbak hadharani fanya wewe ulete hapa
 
Ubinafsi huo sasa.....wew mbona hukuleta ili jambo pm uliamua kuliweka hapa kila mtu ajue kwanini nawao wanashindwa kuleta matokeo hapa wanakupelekea huko pm.......selfish is here i feel it
maybe you tell them mkuu,
 
Kaka sasa me nipo SA natumia rand nifanyaje hapo kwenye kiasi!
 
Siku rakim atajitokeza kujibu maswali ya wadau mnishitue niko hapa sebuleni nagonga nyag
 
Kaka sasa me nipo SA natumia rand nifanyaje hapo kwenye kiasi!
Zikiwa coin kwa idadi ya witiri unatumia coin zozote lakini most powerful ni coin za kijerumani zile za zamani kama kuna mtu atapata basi hiyo ukiwa nayo tu umemaliza

Rakims
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…