Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Kila ndoto unayoota ni ushirikina?
Zipo ndoto zinazoletwa na "mapepo" ili kuwadanganya wanadamu. Usipokuwa makini utanapotezwa. Siyo ndoto zote lakini baadhi ya ndoto zinakuwa inspired by the Devil or his demons.
 
Zipo ndoto zinazoletwa na "mapepo" ili kuwadanganya wanadamu. Usipokuwa makini utanapotezwa. Siyo ndoto zote lakini baadhi ya ndoto zinakuwa inspired by the Devil or his demons.
Nafahamu hizi pumba mkuu, kila anayeota huona alichoota ni bora ya cha mwenzie, ndoto hutoka moja kati ya hizi sehemu 3

1: Allah/God 90%
2: Shaitan 5%
3: Ubongo 5%

Rakims
 
Unaweza tumia kwenye micbezo kama biko etc

Ova
 
Unaweza tumia kwenye micbezo kama biko etc

Ova
Biko itakubidi kwenye manuizi unuwie kujua saa na dakika za kucheza ikibidi na sekunde,, in general ni michezo yote ya kamari

Rakims
 
Watu tumetumika kwenye kamar kama watumwa na hatupat chocho leta hapa utufundishe
 
Je nitajishika kwenye paji la uso kwa dakika ngapi baada ya kumaliza kutamka hayo maneno?
 
HABARI
"Rakims,
Ndugu tamaa ya pesa ni kubwa na ni ya wengi sasa tafadhali Mtu asije kusema maneno hayo mara 200 mara PAAP kabadilika chatu.

LUMUMBA
Kuyasema mara200, je kuna mtu atakuwepo pembeni anakuhesabia, kisha ukifikisha idadi anakustopisha?

Maana kutamka maneno ya kigeni usiyoyaelewa maana, tena kwa njia ya kukariri mara200, sidhani kama unaweza kutimiza hesabu kiusahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu chukua app ipo play store inaitwa tasbihi au counter inafanya hizo kazi, au tengeneza ushanga kama unaona tabu

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…