Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Nnachoamini no one knows tomorrow! Ndio maana kwenye betting wanaweka odds kubwa kwa timu ndogo ikiwa inacheza na timu kubwa, hiyo kubwa wanaipa odds ndogo wakitarajia itashinda tu.. Ila kuna wakati matokeo yanakuwa negative
 
Kiongozi huyo atakayekuja kukupa muongozo ukiwa usingizini si anakuja kwa sura ya mtu na je hawezi taka umpatie kitu ili akufanyie utakayo au kukupa masharti yoyote yenye kukufanya mtu ujute baadae hebu tudadavulie kidogo tafadhali
 
Na wenye kamari nao wanafanya meditation za kuwaondolea wachezaji wa kamari bahati zao, Ngoma inogile
Kamali ni mchezo wa bahati tu, full stop.
Casino, Betting, Forex n.k. ukitaka kufaula fanya moja tu Become the House..., Sababu at the end the House Always Win... ? Kwanini Sababu Odds zipo stuck on their favor, Kwa kutumia probability mwisho wa siku punters (wachezaji) lazima walie na the House (Mchezeshaji)
 
Nnachoamini no one knows tomorrow! Ndio maana kwenye betting wanaweka odds kubwa kwa timu ndogo ikiwa inacheza na timu kubwa, hiyo kubwa wanaipa odds ndogo wakitarajia itashinda tu.. Ila kuna wakati matokeo yanakuwa negative
Njia rahisi ya kushinda hizo bet za mipira mkuu ni kujua nani anaanza basi waweza kushinda bila tatizo ndio maana hakuna live bet mkeka sawa?
 
Kiongozi huyo atakayekuja kukupa muongozo ukiwa usingizini si anakuja kwa sura ya mtu na je hawezi taka umpatie kitu ili akufanyie utakayo au kukupa masharti yoyote yenye kukufanya mtu ujute baadae hebu tudadavulie kidogo tafadhali
Hii ni nguvu ya kiroho inayokushukia iliyokuwa based kwenye gambling mkuu unatumia unatupa au unakaa nayo,
 
Njia rahisi ya kushinda hizo bet za mipira mkuu ni kujua nani anaanza basi waweza kushinda bila tatizo ndio maana hakuna live bet mkeka sawa?
Sijakuelewa kwa kuangalia timu ya kwanza kuanza katika mpira ndio imeshinda? Nitafanyia kazi...

Kuhusu live bets zipo kaka
Njia rahisi ya kushinda hizo bet za mipira mkuu ni kujua nani anaanza basi waweza kushinda bila tatizo ndio maana hakuna live bet mkeka sawa?
Sijakuelewa kwa kuangalia timu ya kwanza kuanza katika mpira ndio imeshinda? Nitafanyia kazi...

Kuhusu live bets zipo kaka mfano hiyo hapo!
 
Nina maana wakati wanaanza kucheza pale imeanzishwa katikati mechi lazima ujue saa iliyoanza?, timu iliyoanza? Coin iliyorushwa imelalia upande upi? Timu inayoanza imekalia upande gani? Hata goli zitafungana ngapi unaweza kufahamu mkuu,
Sasa bet ya mpira ni ngumu kwa sababu ya mahitaji, ndio maana mtu unakuta anabet gari au nyumba kutokana na possibilities anazokuwa keshapewa na astrologer wake, ulishawahi kuona nani anabet timu 4 kwa gari au nyumba?

Thinkbig

Rakims
 
duuuuh, najifunza
 
Rakims ushawahi kujaribu ukapata majibu???
Afu haya makamuni ya betting sio kuna majini ndan yke??
 
Rakims ushawahi kujaribu ukapata majibu???
Afu haya makamuni ya betting sio kuna majini ndan yke??

na attachment yake nilishafanya mkuu, majini labda kama ukiita ukaweka akilini waje,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…