Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Feed us bak
Hamna shida mkuu.... Ninaswali la mwisho hapa kwenye mahitaji nina elfu 8 za chenchi 100,200 na 500 nyingi.... Na kwenye maelekezo nimeona kama zinatakiwa sarafu za 12000 je hii haina shida?
 
Mkuu uliza maswali yote ili ukianza usije sahau kitu
Hamna shida mkuu.... Ninaselai la mwisho hapa kwenye mahitaji nina elfu 8 za chenchi 100,200 na 500 nyingi.... Na kwenye maelekezo nimeona kama zinatakiwa sarafu za 12000 je hii haina shida?
 
Hii inachezwa vipi?
Unaweka pesa kwenye account yako then unakwenda kwenye gemu yenyewe inaitwa aviator unaweka kiwango chochote unacho taka hapo jinsi kindege kinavyo kas hewani ndio pesa zako zinaongezeka.
Screenshot_20230117-222448.png

Kwa mfano hapo kama ungekuwa umeweka elfu 10 ukiwahi kutoa kabla hakijafyatuka unapata 10,000X26.53= 265,300.
Kuna mda kinawahi kufyatuka kama unavyo ona hapo kwenye chati👇
Screenshot_20230117-222921.png
 
Kampuni gani ina hii kitu

Unaweka pesa kwenye account yako then unakwenda kwenye gemu yenyewe inaitwa aviator unaweka kiwango chochote unacho taka hapo jinsi kindege kinavyo kas hewani ndio pesa zako zinaongezeka. View attachment 2485208
Kwa mfano hapo kama ungekuwa umeweka elfu 10 ukiwahi kutoa kabla hakijafyatuka unapata 10,000X26.53= 265,300.
Kuna mda kinawahi kufyatuka kama unavyo ona hapo kwenye chati[emoji116]
View attachment 2485215
 
Unaweka pesa kwenye account yako then unakwenda kwenye gemu yenyewe inaitwa aviator unaweka kiwango chochote unacho taka hapo jinsi kindege kinavyo kas hewani ndio pesa zako zinaongezeka. View attachment 2485208
Kwa mfano hapo kama ungekuwa umeweka elfu 10 ukiwahi kutoa kabla hakijafyatuka unapata 10,000X26.53= 265,300.
Kuna mda kinawahi kufyatuka kama unavyo ona hapo kwenye chati[emoji116]
View attachment 2485215
Mkuu naona na meridian pia ipo na hapo ukitaka kuweka bet ndo wabonyeza hapo bet?
 
Back
Top Bottom