Jinsi ya kusimamisha matiti yaliyolala

Jinsi ya kusimamisha matiti yaliyolala

Kwa atakayeshindwa kujipaka nipo tayari kumsaidia bureee[emoji41]
 
Wanawake ni watumwa wa mambo ya urembo usikite wataenda kufanya alafu sisi usiku tunyonye uchungu wa alovera
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85]
 
acha kurudisha wakati nyuma mkuu hiyo dawa sidhani kama itawasaidia, huwezi kupigana na wakati,
 
Wanawake ni watumwa wa mambo ya urembo usikite wataenda kufanya alafu sisi usiku tunyonye uchungu wa alovera
Mkuu kwani wewe mpaka umri huo haujaanza kula chakula cha kawaida bado unategemea maziwa ya mama?
Kwanini wasikuzoeshe maziwa ya ng'ombe?

Maskini yaani mpaka unamiliki smartphone na jf unaijua bado hujaanza kula vyakula vya watu wazima?

[emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom