Jinsi ya kusimamisha matiti yaliyolala

Jinsi ya kusimamisha matiti yaliyolala

Wanawake ni watumwa wa mambo ya urembo usikite wataenda kufanya alafu sisi usiku tunyonye uchungu wa alovera

Bado unanyonya?
Amenikumbusha kauli ya Mzee Makamba, alipokuwa Mkuu wa Mkoa aliwahi kuwakemea akina mama wa Kata moja, ambao watoto wao walikuwa na utapiamlo kwa kuwaambia waache kabisa kuwanyonyesa waume zao bali watoto ili wapate afya
 
Wanawake ni watumwa wa mambo ya urembo usikite wataenda kufanya alafu sisi usiku tunyonye uchungu wa alovera
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mkishafanikiwa msisahau kutupiepo ka tupicha tuone sisi walaji
 
Jamani msipake hii shubiri, wale watoto wanaonyoa ndevu watapata kisingizio cha kuchepuka![emoji23]
 
Kwa kutafuta nini?kama yamelala yamelala tu achana na hizo porojo.Waliyataka wenyewe.Kutoa mimba sana na kunyonyesha watu wenye meno 32 'deilee'
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Watoto wamekua Je na baba zao inakuaje maana ndo wanapojipatia kiburudisho
 
Kusimamisha matiti yaliyolala + kuongeza nguvu za kiume=???

"Tanzania ya viwanda"
 
tupia lako tulione ili tujiridhishe maana usije ukatuharibia dada zetu wapenzi wetu
 
Back
Top Bottom