elvee
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,110
- 1,625
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kawaida tu J najaribu kuangalia faida ya hiyo kitu siioni.kapovu haka vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kawaida tu J najaribu kuangalia faida ya hiyo kitu siioni.kapovu haka vipi
anhaa bora umesema....Lakini wengine wanaona ndio mpango mzima[emoji23] [emoji23] [emoji23] kawaida tu J najaribu kuangalia faida ya hiyo kitu siioni.
Mbona amesema anayenyonyesha asitumie!Acha kufundisha wake zetu, uhuni mpuuzi wewe...!
Utakuwa adui wa watoto mshamba weeh hutaki wanyonyeshe watoto wetu..
Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo
Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.
NB:Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.
Msisahau mrejeshoooooooo
Aaaah asante dadaWanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo
Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.
NB:Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.
Msisahau mrejeshoooooooo
Njema saaanauko njema
Njema saaana
Kweli..anhaa bora umesema....Lakini wengine wanaona ndio mpango mzima
Kwanini?Usithubutu kunyonya chuchu za wadada wa Morogoro!
Haswaaa, pale ziwa kusimama kunapoambatana na Uvimbe wenye Kansa, sababu ya kulazimisha!Nimependa hapo wasisahau mrejeshooooooo
[emoji126] [emoji8] [emoji8]
Mkuu mbona ameweka angalizo kama usitumie kama unanyonyesha??Acha kufundisha wake zetu,
Utakuwa adui wa watoto mshamba weeh hutaki wanyonyeshe watoto wetu..
Hayo mambo yenu mengi ndio yanatufanya tuzidi kuwapenda.Kwani ikilala kuna tatizo? Isimame ili iweje?
Kama umri umeenda haurudi nyuma.
Hata tufanye madoido ya kila aina .
Duuuh! Wanawake tuna mambo mengi aisee.
Hamna aliyeanza kufaidi nije.[emoji23]Nani?
Vipi ukitaka kulisimamisha sambwanda lililolala unafanyaje!!?.