Jinsi ya kusimamisha matiti yaliyolala

Dah....kumbe ndiyo maana nasikia ladha ya uchungu uchungu siku ya 3 sasa[emoji15] [emoji87]
 

Zisimame ili iweje? kuna mashindano ya chuchu zilizosimama? Asee nyie jamaa ni wa kuhurumiwa tu sam taimu. Laiti mungejua tunachokitafuta kwenu musingehangaika na hayo mambo.
 
Aaaah asante dada
 
Kwa kutafuta nini?kama yamelala yamelala tu achana na hizo porojo.Waliyataka wenyewe.Kutoa mimba sana na kunyonyesha watu wenye meno 32 'deilee'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…