Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si waliungana na mama yao kunikataa kuwa Mimi sio baba yao ndiyo maana nasema sina watoto kabisa hivyo njoo tuanze moja mama .Yaani una watoto halafu huna tena 😅Muone
Aisee mazuriMafano haya ni ya mwanafunzi wake Leo asbuhiView attachment 3087570
😅😅😅Si waliungana na mama yao kunikataa kuwa Mimi sio baba yao ndiyo maana nasema sina watoto kabisa hivyo njoo tuanze moja mama .
Nb :Zuri kuliko Mimi ni mtu nimejaaliwa kuzaa watoto wazuri kuliko kawaida maana uwa wanafanana na Bibi yao
Soda achana nayoKwahiyo nachagua kimoja tu cha kuweka sio vyote
Baking soda haina ishu kama powder ipo! Mm toka nazaliwa sijawah kuitumia hii mana haina cha maana sana kam unaweka powder. Hapo balansi ya kipimo standard ni gram 20 kwa kilo moja ya nganoEvelyn Salt View attachment 3087572View attachment 3087574
Nimecopy sehemu pia Kuna Uzi humu nitakutag nikiuona
Safiii 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻Mafano haya ni ya mwanafunzi wake Leo asbuhiView attachment 3087570
Asante kwa kunisaidia 😜Evelyn Salt View attachment 3087572View attachment 3087574
Nimecopy sehemu pia Kuna Uzi humu nitakutag nikiuona
realMamy ningependa kufahamu ni kiungo gani cha kuweka kwenye maandazi yadumu bila kuharibikaUtaweza Sio kazi
Mimi wife huwa ananipikia vitumbua kama ugali nilishampiga marufuku kunipikia vitumbua vya na namna hiyo na kumwambia ajifunze....naomba somo la kupika /choma vitumbuaMandazi hayafai kukaa sana, unapaswa kuyamaliza ndani ya siku tano yakitunzwa vizuri kwa viambata hivyo hivyo.
AhsanteMandazi hayafai kukaa sana, unapaswa kuyamaliza ndani ya siku tano yakitunzwa vizuri kwa viambata hivyo hivyo.
NOtedMimi huwa napenda kupika, kujifunza na kujaribu Mapishi mbalimbali Nyumbani na Familia yangu hufurahia sana ninachokifanya mbali na Shughuli zangu zinazoniingizia Kipato.
kuna siku rafiki yangu alinipatia Maandazi matamu sana na niliyapenda sana.
Ilinibidi nifuatilie na nijue kuwa ametumia nini ili kupata Maandazi matamu kama yale bila hiyana akanielekeza.
Mahitaji.
1. Unga wa Ngano Kilo moja
2.Mafuta ya kupikia
3. Blue Band Vijiko vitatu vikubwa. (Prestige Margarine)
4. Sukari Vijiko Vitatu Vikubwa
5.Hiliki Kijiko Kimoja Kikubwa.
6.Baking Powder Kijiko Kimoja cha Chai.
7. Mayai Mawili Makubwa.
8. Maji ya Vuguvugu.
Maandalizi.
Weka Unga kwenye Bakuli, Yeyusha Blueband kisha weka kwenye Unga wako na uchanganye vizuri.
Weka mayai yako, Sukari, Hiliki, Baking Powder kwenye unga wako Endelea kuchanganya Vizuri.
Weka maji ya Vuguvugu kidogo kidogo kwenye Unga wako kisha endelea kukoroga hadi pale unga wako utakapokuwa tayari.
Hakikisha unga unakuwa Mgumu wastani kama wa kutengenezea Half Cake.
Ukiwa tayari Kata Unga wako na kuanza kupika Maandazi yako Mazuri na ya kunukia vizuri.
Unaweza kutengeneza Mengi kwa ajili ya familia na hata watoto kubeba Shuleni Asubuhi.
Kwa sisi wadada pia unaweza kubeba kwenda nayo kazini.
Yanafaa Kwa Biashara Pia.
Maandazi haya yanafaa kula kwa Chai,Juice, Soda na kahawa.
😋
View attachment 3087473
MAmie naomba nitag kwenye ule uzi wako wa Makange ya Samaki,.Evelyn Salt View attachment 3087572View attachment 3087574
Nimecopy sehemu pia Kuna Uzi humu nitakutag nikiuona