Jinsi ya Kutengeneza Maandazi laini na matamu bila kutumia Hamira

Jinsi ya Kutengeneza Maandazi laini na matamu bila kutumia Hamira

Nlipika chips x-Max,.
Ngoja kesho nijaribu tambi flani hivi nimeziona youtube,.
Naanza virahis rahis kwanza🤭
Sawa Mamy itakua vizuri sana, viwe na ladha tu 😜😅
 
Sawa Mamy itakua vizuri sana, viwe na ladha tu 😜😅
Ndio unipe ingredients sasa,. Zile tambi na mayai unachanganya zinakuwa kama kiepe.
Nielekeze kwanza nini kinaanza nini kinafuata
 
Ndio unipe ingredients sasa,. Zile tambi na mayai unachanganya zinakuwa kama kiepe.
Nielekeze kwanza nini kinaanza nini kinafuata
Tambi Mayai Simple

Ingredients
Tambi
Mayai
Mafuta
Caroti
Chumvi
Vitunguu/Maji na Swaumu
Hoho
Maji
Sufuria

Jinsi ya Kupika.
Chemsha Tambi hadi ziive, Chuja maji kwenye hizo tambi.

Andaa Viungo vyako vyote tofauti tofauti.

Andaa mayai yako

Weka kikaangio chako kwenye moto wa wastani, weka mafuta yakichemka vizuri weka Vitunguu kisha viungo vingine.

Vikiiva vizuri weka Tambi, zisambaze vizuri kisha weka mayai. Kaanga kama unavyotengeneza Chips.

( unaweza kuweka viungo vingine kama utapenda vinavyoleta ladha)

Nimekupa maelezo simple kisha enjoy.
 

Attachments

  • 99D36257-F5D3-4540-8BBE-916E006DA89B.jpeg
    99D36257-F5D3-4540-8BBE-916E006DA89B.jpeg
    61.6 KB · Views: 2
Tambi Mayai Simple

Ingredients
Tambi
Mayai
Mafuta
Caroti
Chumvi
Vitunguu/Maji na Swaumu
Hoho
Maji
Sufuria

Jinsi ya Kupika.
Chemsha Tambi hadi ziive, Chuja maji kwenye hizo tambi.

Andaa Viungo vyako vyote tofauti tofauti.

Andaa mayai yako

Weka kikaangio chako kwenye moto wa wastani, weka mafuta yakichemka vizuri weka Vitunguu kisha viungo vingine.

Vikiiva vizuri weka Tambi, zisambaze vizuri kisha weka mayai. Kaanga kama unavyotengeneza Chips.

( unaweza kuweka viungo vingine kama utapenda vinavyoleta ladha)

Nimekupa maelezo simple kisha enjoy.
Asante kwa Mwongozo rafiki,. Ngoja nitakuletea picha keaho nikijaribu
 
Back
Top Bottom