Jinsi ya Kutengeneza Maandazi laini na matamu bila kutumia Hamira

Si waliungana na mama yao kunikataa kuwa Mimi sio baba yao ndiyo maana nasema sina watoto kabisa hivyo njoo tuanze moja mama .
Nb :Zuri kuliko Mimi ni mtu nimejaaliwa kuzaa watoto wazuri kuliko kawaida maana uwa wanafanana na Bibi yao
😅😅😅
 
Mandazi hayafai kukaa sana, unapaswa kuyamaliza ndani ya siku tano yakitunzwa vizuri kwa viambata hivyo hivyo.
Mimi wife huwa ananipikia vitumbua kama ugali nilishampiga marufuku kunipikia vitumbua vya na namna hiyo na kumwambia ajifunze....naomba somo la kupika /choma vitumbua
 
NOted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…