Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Wewe sio mtu wa kawaida aiseeee
 
hivi gharama za Gym ni sh ngapi kwa anayejua?
Kila gym ina range yake.
Mfano mtaani kwangu kwa mwezi ni elfu kumi kwa siku session moja ni mia tano.

Kuna sehemu ukilipa elfu tano ndiyo haulipi tena.
Ila hizi ni zile local.

Advanced iliyo na kila kitu ni kuanzia elfu hamsini (Gongo la Mboto mwaka jana, sijui mwaka huu) kwa siku elfu tatu kwa session.
Sinza Mapambano elfu mbili kwa session, Home Gym sinza nafikiri ni elfu mbili pia.

Home Gym Kigamboni, elfu ishirini kwa Mwezi na elfu moja kwa siku (ni local usitishike na jina).

Mbeya, Soweto gym ni elfu thelathini kwa mwezi na elfu mbili kwa session (mwaka jana sijui mwaka huu).

So ni wewe tu na eneo ulilopo mkuu.
 
shida yangu moja tu, muendelezo wa mazoezi kwangu ni ngumu sana hakuna yamini ya kufanya mazoezi niweze kuendelea kila siku?
 
Mimi huwa nakimbia hasubuhi,naruka kamba,nafanya abdomen yaani tumbi pia napiga kwa kifupi sufanye mazoezi ya kujenga sehemu ya mwili nnachotaka kila part ya mwili ishughulike je nakosea?
 
Mimi huwa nakimbia hasubuhi,naruka kamba,nafanya abdomen yaani tumbi pia napiga kwa kifupi sufanye mazoezi ya kujenga sehemu ya mwili nnachotaka kila part ya mwili ishughulike je nakosea?
Kwakua target yako ni kila sehemu ishughulike sidhani kama unakosea.
Lakini kama lengo lingekua ni kuujenga mwili hapo ni kweli unakosea.

Mfano, kukimbia na kuruka kamba yote ni mazoezi yatakayokupa pumzi na kukupunguza mwili, tumbo utaliweka tumbo vile unavyotaka.

Sijaona kama unafanya zoezi la kifua au ya kufanania hayo.
 
Maamuzi yaliyo sahihi huja kwa kutafari Bali kunena kusiko tafakari ni upumbavu mbele za watu saafi
 
kwa kwali umeniponza na haya mazoezi yako. saiz kichwa, mbavu, bega moja, mgongo kwa chini, miguu kwa chini nyuma vinauma balaa. yaani najisikia hovyoo
 
Wakuu mimi nataka zoezi la kuimarisha miguu kuanzia kwenye mapaja hadi chini, nifanye zoezi gani kwa matokeo bora zaidi!??
 
kwa kwali umeniponza na haya mazoezi yako. saiz kichwa, mbavu, bega moja, mgongo kwa chini, miguu kwa chini nyuma vinauma balaa. yaani najisikia hovyoo
Pole kwa maumivu mkuu.

Tangu maumivu yaanze ulikua umefanya mazoezi haya kwa siku ngapi? Au ni umeanza tu na haya maumivu yakakuanza?

Umewahi kufanya mazoezi kabla ya kuifuata hii routine? Ulikua ni beginner au advanced?
 
Pole kwa maumivu mkuu.

Tangu maumivu yaanze ulikua umefanya mazoezi haya kwa siku ngapi? Au ni umeanza tu na haya maumivu yakakuanza?

Umewahi kufanya mazoezi kabla ya kuifuata hii routine? Ulikua ni beginner au advanced?

mie ni beginner, nilikuwa nimefanya kwa siku mbili, mazoezi nilikuwa nafanya zamani nikaacha
 
mie ni beginner, nilikuwa nimefanya kwa siku mbili, mazoezi nilikuwa nafanya zamani nikaacha
Nenda pole pole, nimetoa maelezo kwa mtu ambaye ni beginner aanzeje na afanyaje.

Hayo maumivu yanapita soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…