Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha aisee ila zege siyo zuri sana maana linakua halijabalansi unaweza kukuta mtoto anatembea kama kiuno kimetenguka.Nina mitoto mitatu ya kiume nimekataa kulipia gym nikakuta imetengeneza simenti home inanyanyua...ulaji saasa hatari. Kuna njaa jamani chakula kidogo mtatufilisi
Mazoezi bila kula ni bure kabisa. Kuna vyakula ukila vizuri mtu anaweza fikiri unaenda gym hata kama huendi.Ni kwa sababu hayo yamelenga misuli ya juu, hata hivyo kwa kadri tutakavyojaliwa muda hata kwenye miguu tutazungumzia.
Mazoezi bila kula ni bure kabisa. Kuna vyakula ukila vizuri mtu anaweza fikiri unaenda gym hata kama huendi.
Acha hilo la kitambi.Namaanisha huwezi kuwa na mwili uliojijenga kama huli vizuri. Pia unaweza kufanya mazoezi na kula vizuri ila msongo wa mawazo ukaunyima mwili kujijenga.Umeongea ukweli mkuu.
Ila Tukiachilia mbali swala la genetics kwa baadhi ya watu, wengi wetu tukila balanced diet ni kunenepa na mwisho kujipa kitambi.
Na msongo ni tatizo jingine, hapa ndiyo unajikuta unafanya zoezi lakini vitu haviingii.Acha hilo la kitambi.Namaanisha huwezi kuwa na mwili uliojijenga kama huli vizuri. Pia unaweza kufanya mazoezi na kula vizuri ila msongo wa mawazo ukaunyima mwili kujijenga.
Mimi nimenunua roller naona inaniumiza tuFanya crunches, sit ups, na kama una roller itumie.
Kwa kua unaanza.
Sit ups, Roller na Crunches fanya seti nne, kila seti fanya mara kumi.
Yapo mazoezi mengi ya tumbo naamini kuna wadau watakutajia ila anzia na hayo ukiwa advanced tutazidi kuongeza spices.
Inakuumiza kwa wapi? Kama ni mgongo jaribu kubadilisha namna unavyofanya.Mimi nimenunua roller naona inaniumiza tu
Samahani siyajui maeneo uliyoyataja hivyo nashindwa kukadiria, lakini ninaweza kukupa wazo jinsi gani unaweza kukimbia uwanja wa mpira na kuongeza kitu.Kwa wakaz wa dsm Kuna umbali wa kilomita ngapi kutoka kituo cha daladala mwananchi hadi mabibo hostel ??
na kukimbia umbali wa kati ya hivo vituo viwili ni sawa na kukimbia uwanja wa mpira wa miguu round ngapi ?
Nakusikiliza mkuuSamahani siyajui maeneo uliyoyataja hivyo nashindwa kukadiria, lakini ninaweza kukupa wazo jinsi gani unaweza kukimbia uwanja wa mpira na kuongeza kitu.
Haina madhara, ila zile ni mbwembwe tu ambazo haziongezi chochote.