Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Mkuu hapo kwenye maji nikinywa lita 2 tu basi nitaenda kukojoa hata mara kumi hapo basi nashindwa kabisa
 
Mkuu hapo kwenye maji nikinywa lita 2 tu basi nitaenda kukojoa hata mara kumi hapo basi nashindwa kabisa
Baada ya muda utakua sawa. Nakumbuka kuna siku ilibidi niingie jengo fulani linaitwa Diamond Plaza karibu na chuo cha IFM ili nikojoe, ila kwa sasa ni kawaida kwangu.
 
Nimeupenda huu uzi sana kwa elimu murua. Mimi ni mwaka wangu wa kumi na tano kwenye mazoezi na yamenisaidia sana. Ratiba yangu ya kila siku asubuhi mara 4 kwa wiki ni round 10 mpaka 12 za uwanjani, dakika 15 za mazoezi ya viungo na 15 ya push ups.

Nilianza nikiwa na miaka 33 sasa nina miaka 48 bado niko vizuri sana kwa zoezi. Nakwenda sambamba na vijana wa miaka 25 hivi. Napenda kuwahimiza kuanza zoezi kwani haijalishi una umri gani cha msingi kupata muongozo na kucheki afya kabla ya kuanza. Maji ya kutosha na mapumziko ni muhimu sana. Wasalam
 
Nimeupenda huu uzi sana kwa elimu murua. Mimi ni mwaka wangu wa kumi na tano kwenye mazoezi na yamenisaidia sana. Ratiba yangu ya kila siku asubuhi mara 4 kwa wiki ni round 10 mpaka 12 za uwanjani, dakika 15 za mazoezi ya viungo na 15 ya push ups.

Nilianza nikiwa na miaka 33 sasa nina miaka 48 bado niko vizuri sana kwa zoezi. Nakwenda sambamba na vijana wa miaka 25 hivi. Napenda kuwahimiza kuanza zoezi kwani haijalishi una umri gani cha msingi kupata muongozo na kucheki afya kabla ya kuanza. Maji ya kutosha na mapumziko ni muhimu sana. Wasalam
Safi sana kiongozi inaelekea upo physical sana nzuri sana 15year si mchezo
 
Baada ya muda utakua sawa. Nakumbuka kuna siku ilibidi niingie jengo fulani linaitwa Diamond Plaza karibu na chuo cha IFM ili nikojoe, ila kwa sasa ni kawaida kwangu.
Shukrani mkuu ..kumbe ndio inavyokuwa hivyo.
 
Nimeupenda huu uzi sana kwa elimu murua. Mimi ni mwaka wangu wa kumi na tano kwenye mazoezi na yamenisaidia sana. Ratiba yangu ya kila siku asubuhi mara 4 kwa wiki ni round 10 mpaka 12 za uwanjani, dakika 15 za mazoezi ya viungo na 15 ya push ups.

Nilianza nikiwa na miaka 33 sasa nina miaka 48 bado niko vizuri sana kwa zoezi. Nakwenda sambamba na vijana wa miaka 25 hivi. Napenda kuwahimiza kuanza zoezi kwani haijalishi una umri gani cha msingi kupata muongozo na kucheki afya kabla ya kuanza. Maji ya kutosha na mapumziko ni muhimu sana. Wasalam
Kudos mkuu.
 
Mkuu mimi nataka niwe na mwili wa Kawaida lakini uliojikata, mimi mwili wangu ni mkubwa kimtindo na tizi huwa napiga sasa sitaki kuvimba mpaka naonekana baunsa, yaani uwe saizi km ya mond vile
 
Mkuu mimi nataka niwe na mwili wa Kawaida lakini uliojikata, mimi mwili wangu ni mkubwa kimtindo na tizi huwa napiga sasa sitaki kuvimba mpaka naonekana baunsa, yaani uwe saizi km ya mond vile
Mazoezi unayofanyia unaingia gym au unafanyia nyumbani?
 
Alafu hilo wazo la whatsapp ni zuri sana mkuu castr lifanyie kazi
 
Nafanya nyumbani tu, squat pamoja na push ups pekee
Mkuu fuatisha hii routine katika push ups, inasaidia katika kuukata mwili.
Nina imani huku mbele tutaendelea kugeana miongozo mingine, ila anza na hii.
 
Mkuu asante kwa Uzi mzuri, ndo nimemaliliza zoezi hapa, japo hua nafanya Mara 2 kwa wiki, j3 na alhamis

Ila Mkuu ungetoa tu ushauri kua hii no intense workout, pushup 320!! Mtu asipige kila siku maana misuli haitapata muda wa ku recover, na recovering period ndio misuli inakua,

Unless mtu anatumia supplements, kupiga hili tizi zaidi ya Mara 3 kwa wiki ni overworking, ukistress sana misuli ukuaji wake unakua taratibu sana,

Ndio maana hata gym hushauriwi kufanya mazoezi ya misuli mikubwa kama kifua au miguu kwa siku mfululizo,lazima upumzike kupisha recovery period ili misuli ikue

Misuli kama ya tumbo ni midogo na INA recover mapema ndo maana unaweza kufanya kila siku
 
Back
Top Bottom