Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Mkuu kwann mara nyingi sana nikifikia stage ya kupata ganz nashindwa kuuacha mwili..sometimes mikono na miguu naweza kuichomoa kwenye mwili ..kichwa pia kina nyanyuka lakini kuchomoka mwili mzima nashindwa yaani napata uzito wa hatari mpaka nachoka naurudia mwili tu mashtuka. Nifanyeje mkuu ili nichomoke mazima..natamani sana hii kitu kuifanikisha
 
Mkuu kwann mara nyingi sana nikifikia stage ya kupata ganz nashindwa kuuacha mwili..sometimes mikono na miguu naweza kuichomoa kwenye mwili ..kichwa pia kina nyanyuka lakini kuchomoka mwili mzima nashindwa yaani napata uzito wa hatari mpaka nachoka naurudia mwili tu mashtuka. Nifanyeje mkuu ili nichomoke mazima..natamani sana hii kitu kuifanikisha
Ningekushaur tafuta msimamizi mkuu ina madhara makuu ukienda huko bila ujuzi maalumu .nikama mtoto wa miaka 2 aamue kupanda basi toka mjini kwenda kushangaa dar bila mzazi mtu mzima anaweza bakwa .anaweza shikiliwa n'a serikali na kwa kuwa hawezi ongea hawatajua wamuachie vipi.anawez kutana n'a wauza viungo.na huko kuko hivo ni ka mji kila mtu kafata yake wenginwanaoenda huko ni wachawi kuwasiliana n'a viumbe vinavowapa nguvu.wengine wanaenda kuongea n'a marehemu walioficha mali dunian waambiwe ziliko.wengine kujua tu kama ww ulimwengu wa kiroho.
NB : Mm sijawahi enda nimesoma makala za wahindu wanaelezea sana haya makitu
 
Fuatilia Rakims Spiritual

Huko kuna watu wapo serious na hizi habari.

Rakims
Nimetembelea huko, kumbe ni kutumia nguvu za majini!. Kuna watu wanadhani haya ni mambo ya Mungu, hivyo ni vema from time to time wakawa wanaambiwa ukweli kuwa haya ni mambo ya majini ili wanaondhani ni mambo ya Mungu waujue ukweli kuwa majini sio viumbe wa Mungu, ni viumbe wa shetani, hivyo mambo ya majini ni mambo ya shetani。 Mapepo wachafu,majini ni mashetani。

Kuna vitu hata sisi Wakristo hatuambiwi ukweli, mfano hatuambiwi ukweli kumhusu shetani, majini na mapepo, watu wakiaminishwa vimeumbwa na Mungu!, kiukweli shetani, majini na mapepo sio viumbe vya Mungu, havikuumbwa na Mungu, havitumii nguvu za Mungu, vinatumia nguvu za giza!, the powers of darkness!, ambazo ninguvu za shetani, japo vinaleta mafanikio makubwa duniani, ni mafanikio ya nguvu za giza, ni mafanikio ya kishetani, na mwisho wa uhai wako duniani, unaishia kwenye jehanam ya moto wa milele!. It's very good wanaofuata haya makitu wakiyajua haya!.
Naendelea kusisitiza ule wito wangu mwanzoni tuu mwa bandiko hili kwenye post No. 4 Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)
P
 
Nimetembelea huko, kumbe ni kutumia nguvu za majini!. Kuna watu wanadhani haya ni mambo ya Mungu, hivyo ni vema from time to time wakawa wanaambiwa ukweli kuwa haya ni mambo ya majini ili wanaondhani ni mambo ya Mungu waujue ukweli.

Kuna vitu hata sisi Wakristo hatuambiwi ukweli, mfano hatuambiwi ukweli kumhusu shetani, majini na mapepo, watu wakiaminishwa vimeumbwa na Mungu!, kiuchumi shetani, majini na mapepo sio viumbe vya Mungu, havikuumbwa na Mungu, havitumii nguvu za Mungu, vinatumia nguvu za giza!, the powers of darkness!, japo vinaleta mafanikio makubwa duniani, ni mafanikio ya nguvu za giza, mafanikio ya kishetani, na mwisho wa uhai wako duniani, unaishia kwenye jehanam ya moto wa milele!. It's very good wanaofuata haya makitu wakiyajua haya!.
Naendelea kusisitiza ule wito wangu mwanzoni tuu mwa bandiko hili kwenye post No. 4 Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)
P
Habari mkuu,
Kama kuna moja ya watu huwa nawaona kwa kiasi fulani wana uelewa mpana humu jamii forum. Wewe pia ulikuwa mmoja wapo lakini kwa hii Quote nilipoweka mstari Mwekundu unaanza kunitia shaka mkuu.

Wewe sio mtu ambaye unaweza kuQuote kitu easily until upate uelewa wake zaidi sasa hapa ni kama vile umekurupuka mkuu and I'm sorry to tell you this.

Unasema kuna watu wanadhani haya ni mambo ya Mungu kwa maana ipi?

Ikiwa unazungumzia elimu ya Astral Projection pekee basi uelewa wako kuhusu Mungu unatakiwa ujiongezee kwa maana nilidhani uliongeza uelewa kuhusu Mungu tangu kwenye ligi ya ile thread yako ya Psychic powers. Lakini kwa jibu hili naona bado you are still young in a knowledge of God's Powers....

Kwa hakika vilivyomo mbinguni na ardhini vyote ni vya mwenyezi Mungu na yeye ndio kuna vitu katuwekea mipaka kutokuvivuka as a test...

Nikujibu kwa uelewa wako wa kubadilika na kufahamu kwamba Mwenyezi Mungu yupo juu ya vyote?
au
Nikujibu kwa uelewa wako wa kuamini kuwa Mungu na Shetani wanauwezo sawa?

Ukinijibu hapo tutaendelea.....!

Turudi kwenye hoja ya wewe kuwa
Kuna watu wanadhani haya ni mambo ya Mungu
bila shaka hawadhani ila wanajua ya kuwa haya mambo ni ya Mungu ila kwenye channel uliyoingia umekurupuka.
Ndio maana nikakwambia kuna watu ambao wako serious na haya wapo kule kwa maana ile ni Youtube channel kama vile unavyofuatilia Channel ya Tv na wala sio Channel ya msanii anaepost nyimbo peke yake...

Which means ukiingia kwenye hiyo channel ina playlist ambazo ni kama vipindi. Kila mtu anafuatilia anachotaka na I have knowledge of all those videos I post.

  • Kuna watu wanataka kujifunza meditation pekee kuna playlist yake.
  • kuna watu wanataka kujifunza kuita majini na kuna playlist yake,
  • kuna watu wanataka kujifunza kuhusu psychic powers kuna playlist yake pia
  • na kadhalika.....

Sasa kama umeingia kwenye channel kwa kukurupuka bila shaka jibu lako ni hili....

Huwezi kuquote ITV kuwa ni channel ya kihuni au wahuni kisa tu wana kipindi cha usiku wa mahaba au wanaweka nyimbo za Wahuni weekend Unaweza kuwa hujitambui kwa kuangalia kipindi kimoja cha channel yao na kuhukumu moja kwa moja...

Baada ya hapo kila ulichoandika kwenye yellow ink hapo in italic writing yote ni dhana na imani yako binafsi which haiwahusu robo 3 ya ulimwengu.

Ikiwa wewe ni mkristo na unaamini kuwa Shetani ana nguvu sawa na Mungu wapo hata wenzio ambao ni wakristo wataona wewe hujui unachoongea...

Lakini wale ambao watakuja mbele yako ukiwaita kanisani na ukawaambia njooni mtubu kwangu na wasiwe na shaka na mambo yako wakakuachia mwenyewe.

Basi hao ni watu hata ukiwaambia leo tusali uchi watakukubalia kisa tu Pascal kasema.....

Which in reality you are trying to deceive them and yourself....

Imani yako tu kwanza kuhusu Mungu ina mashaka makubwa sana kwa maana mwisho unaweza kujikuta unamtii shetani bila kujijua. Soma mkuu soma!!!

Rakims
 
Habari mkuu,
Kama kuna moja ya watu huwa nawaona kwa kiasi fulani wana uelewa mpana humu jamii forum. Wewe pia ulikuwa mmoja wapo lakini kwa hii Quote nilipowea mstari Mwekundu unaanza kunitia shaka mkuu.

Wewe sio mtu ambaye unaweza kuQuote kitu easily until upate uelewa wake zaidi sasa hapa ni kama vile umekurupuka mkuu and I'm sorry to tell you this.

Unasema kuna watu wanadhani haya ni mambo ya Mungu kwa maana ipi?

Ikiwa unazungumzia elimu ya Astral Projection pekee basi uelewa wako kuhusu Mungu unatakiwa ujiongezee kwa maana nilidhani uliongeza uelewa kuhusu Mungu tangu kwenye ligi ya ile thread yako ya Psychic powers. Lakini kwa jibu hili naona bado you are still yangu in a knowledge of God's Powers....

Kwa hakika vilivyomo mbinguni na ardhini vyote ni vya mwenyezi Mungu na yeye ndio kuna vitu katuwekea mipaka kutokuvivuka as a test...

Nikujibu kwa uelewa wako wa kubadirika na kufahamu kwamba Mwenyezi Mungu yupo juu ya vyote au nikujibu kwa uelewa wako wa kuamini kuwa Mungu na Shetani wanauwezo sawa?

Ukinijibu hapo tutaendelea.....!

Turudi kwenye hoja ya wewe kuwa

Of cause hawadhani ila wanajua kuwa haya mambo ni ya Mungu ila kwenye channel uliyoingia umekurupuka ndio maana nikakwambia kuna watu ambao wako serious na haya wapo kule kwa maana ile ni Youtube channel kama vile unavyofuatilia Channel ya Tv na wala sio Channel ya msanii anaepost nyimbo peke yake...

Which means ukiingia kwenye hiyo channel ina playlist ambazo ni kama vipindi. Kila mtu anafuatilia anachotaka na I have knowledge of all those videos I post mkuu.

Kuna watu wanataka kujifunza meditation pekee kuna playlist yake kuna watu wanataka kujifunza kuita majini, kuna playlist yake, kuna watu wanataka kujifunza kuhusu psychic powers kuna playlist yake na kadhalika.....

Sasa kama umeingia kwenye channel kwa kukurupuka of cause jibu lako ni hili....

Huwezi kuquote ITV kuwa ni channel ya kihuni au wahuni kisa tu wana kipindi cha usiku wa mahaba au wanaweka nyimbo za Wahuni weekend Unaweza kuwa hujitambui kwa kuangalia kipindi kimoja cha channel yao na kuhukumu moja kwa moja...

Baada ya hapo kila ulichoandika kwenye yellow ink hapo in italic writing yote ni dhana na imani yako binafsi which haiwahusu robo 3 ya ulimwengu ikiwa wewe ni mkristo na unaamini kuwa Shetani ana nguvu sawa na Mungu wapo hata wenzio ambao ni wakristo wataona wewe hujui unachoongea...

Lakini wale ambao watakuja mbele yako ukiwaita kanisani na ukawaambia njooni mtubu kwangu na wasiwe na shaka na mambo yako wakakuachia mwenyewe basi hao ni watu hata ukiwaambia leo tusali uchi watakukubalia kisa tu Pascal kasema.....

Which in reality is you are trying to deceive them and yourself....

Imani yako tu kwanza kuhusu Mungu ina mashaka makubwa sana kwa maana mwisho unaweza kujikuta unamtii shetani bila kujijua. Soma mkuu soma!!!

Rakims
Shukran nimejifunza kitu hapa
 
So unaweza kutupa elimu kidogo kuhusu shetani, majini na mapepo yameumbwa na nani kama sio Mungu??

Nawasilisha Pascal Mayalla
Mkuu Zazuu , haya mambo ya imani ni magumu sana, ukiisha amini ulichoaminishwa ni vigumu kuamini tofauti. Kwa kuanzia kribu mitaa hii Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Kisha nitembelee mitaa hii Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!. pia Kumbe Shetani Alikuwa Mwandishi wa Habari!, na Alichomfanya Eva Bustani ya Eden ni Uandishi wa Habari?- Je Media Tuombwe Msamaha Kuitwa Shetani au?

P
 
Mkuu kwann mara nyingi sana nikifikia stage ya kupata ganz nashindwa kuuacha mwili..sometimes mikono na miguu naweza kuichomoa kwenye mwili ..kichwa pia kina nyanyuka lakini kuchomoka mwili mzima nashindwa yaani napata uzito wa hatari mpaka nachoka naurudia mwili tu mashtuka. Nifanyeje mkuu ili nichomoke mazima..natamani sana hii kitu kuifanikisha
usivae vito vya silva, shaba au gold
 
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection.

Ni ule uwezo wa mtu kutengana na mwili wake kwa fikra katika imani Husemwa Kiroho.
Pale ambapo roho yako inakuwa imetengana na mwili wako wa nyama.

Utokaji huu wa nje ya mwili upo wa aina mbili au tatu na wenyewe ni wa roughly watu wanafundisha kwa maelezo marefu na mapana hali ya kuwa ni kitu kifupi tu watu wanatakiwa kujua jinsi ya kutoka na mengine kujifunza pale wanapokuwa wameshatoka ndio maana huitwa OOBE yaani Out Of Body Experience.
Baada ya wewe kutoka nje ya mwili umeexperience nini?
Na kile ulichoexperience wewe sio kukiweka sheria maana kila mtu anaweza kutoka nje ya mwili ikiwa atapata muongozo mzuri sasa kuna watu tofauti tofauti wanaweza kutoka nje ya mwili nao wakaja na makala zao za kukurupuka na Experience zisizo na kichwa wala miguu wengine experience zao ni za dhana.

View attachment 420199

FAIDA ZAKE:

Hakuna chochote utakachopenda au kuthubutu kufanya pasipo kujua faida wala hasara au Athari zake zifuatazo ni faida chache anaweza kupata yoyote mwenye kuthubutu kutoka nje ya mwili:

1. Kujitambua kuwa wewe hufi na kuondoka moja kwa moja: Hili ni tukio litakalo kubadilishia maisha. Mamilioni ya watu wamekua wakithibitisha kuwa mtu akifa hapotei moja kwa moja bali kuna maisha mengine ambayo ataishi wale wasioamini life after dealth.

2. Kuongeza uwezo mzuri wa kulala:
Hii husaidia mtu kulala katika hali ya usalama na kupata nguvu inayozungumziwa baada ya kulala na kujua ni ipi sababu kubwa ya kulala tunalala ili miili yetu ipumzike roho zetu zianze kuishi.

3. Kuongeza nguvu ya majariwa:
Hii inaongeza kipawa cha unabii na uwezo mkubwa wa kumsoma mtu akili hufahamika kama kama mind reading au telepathy, kasimama hapo wewe unaongea na roho yake.

4. Kujiendeleza Kimaisha:
Ukiwa nje ya mwili inakuthibitishia kuwa wewe ni zaidi ya binadamu wa kawaida hivyo hukuongezea akili ya utendaji zaidi kwa kutumia maajabu na si nguvu tena.

5. Inakuongezea kukomaa kiroho:
Watu wengi wamekuwa na roho nzuri baada ya kuishi na kiumbe zaidi ya asiekuwa mwanadamu.

6. Inaongeza heshima ya maisha:
Hii hukufanya umuheshimu kila kiumbe na umuhurumie hata paka maana kule una uwezo wa kuongea hata na wanyama pia.

7. Inaongeza akili kumbukumbu na ubunifu:
kupitia ufahamu utakao kuwa nao kwa zoezi hili inaeleweka kwamba utakuwa umefungua sehemu za ubongo wako za fahamu zinazodeal na akili pamoja na kumbukumbu.

8. Kukuwezesha kupata majibu yako mwenyewe kwa spiritual guide:
kutoka nje ya mwili kutakujibia maswali mengi ambayo ulikua huwezi kuyajibu katika ulimwengu wako wa kiroho.

9. Kuondoa woga wa kufa:
kuhofia kifo ni kuhofia jambo usilolijua.utakapotoka utaona kwamba kumbe nina uwezo wa kuishi maisha ya pili hata nikifa.

10. Kutambua na kuelewa mambo ya kale yaliyopita:
utajifunza jinsi ya kupanua ubongo wako haya kuzungumza na historia za kale ingawa unaweza kuona pia tukio lijalo ila hii ni kwa wenye power ya precognition na retrocognitions.

11. Kupaa na kufurahi:
Ulimwengu wa roho hata anga sio mpaka. unaweza kupaa nyuma ya mawingu. na ukapaa kama puto. unataka kuwa na macho ya ndege mjini? la shaka! au unataka kupaa na kuogelea kama samaki dolphin na hata kuruka kama ndege, au kudumbukia ndani na kuogelea kama samaki!

ukitaka unaweza hata kufika kwenye sayari za juu na zile ambazo bado hazijawa discovered wazungu walifanya zamani sana hii na kwenda huko kabla hata ya kurusha ndege, unaweza kwenda popote duniani na nje ya dunia hata kuwatembelea marafiki kila corner ya ulikmwengu

12. Kuthibitisha kwamba mwili wako utakufa ila akili au nafsi yako itabaki tu

13. utayaona mengi maisha yako yaliopita na kuyachezea na utakuwa na nafasi ya kuona kila kitu ambacho unatakiwa kufanya ufanikiwe:
Pia hii yaweza kuwa tiba kubwa kwa magonjwa yasiyotibika kwa maana unaingia hata sehemu ambazo zimefichwa hasa na waweza kula dawa yeyote.

14. Kukutana Na Malaika wako wawili
Utawaona hawa hatua ya kwanza kutoka na kukuongoza kwa mengi ukitaka kuwaona.
japokuwa hawaonekani moja kwa moja ila kama vivuli

15. Kuongeza Nguvu ya miujiza
Kutoka huku kutakufanya uongeze nguvu zako za miujiza kama vile
kuona vitu visivyoonekana kwenye real world, kuskia sauti za mawazo ya mtu, kujua kinachotokea dk kadhaa zijazo, kumlazimisha mtu kufanya utakacho (mind control), kuhisi jambo fulani linatokea, nguvu ya unabii,

16. Kuona aura ya kila kitu na nguvu zingine nyingi tu. haya yote yatakutokea kwa maana umezidi mpaka wa ubongo wako hapa ndio tunaanza kuona more than a normal brain function(waweza kuwa genius pia ukitumia vizuri, anyway usitumie manguvu yote hovyo utaanza kuhisi kuchanganyikiwa fuata hatua kwa hatua.

17. kujaza busara akilini.
hii hukufanya uzidishe busara katika akili yako na amani kuu katika roho yako

18. Kuongeza tamaa ya kupata majibu
Kutoka nje ya mwili kutakufanya kujibu maswali na kujua zaidi kwamba wewe ni nani? upo wapi? na unafanya nini? na unaenda wapi? ukijua hayo hutabadilika mfumo wako wa maisha?

19. Kuwaona waliokufa
Hapa utakutana na ndugu zako uliokuwa ukiwapenda waliotangulia mbele za haki. Kukutana nao huku kutakusaidia sana kuwasaidia kama kuwalipia madeni na kukuonyesha mali walizoficha kama walikua wanakupenda.

20. Kujiongezea maajabu ya maisha
hapa utajifunza mengi kuona kila kiumbe kisichoonekana kupajua sehemu watu na nyumba kabla hujaenda

21. Kupona
Ukitoka nje ya mwili unakuwa umejitibu hapa utaweza kujitibu mwenyewe na wengine na wanyama pia.

Na hizo bado ni baadhi tu:
View attachment 420282
Ni aina ya uwezo ambao huwa nao watu wote kwa 100%
Lakini

65% Ni watu wasiojua na wala hawaamini kama inawezekana

25% Ni watu wanaojua na wanaamini inawezekana

10% Ni watu wanaoju na wanaamini lakini vile vile wameshaweza na wanatumia katika maswala mbali mbali.

Hatua za kufuata ili uweze kutoka nje ya mwili


JINSI YA KUFANYA:
Ili kuweza kutoka nje ya mwili kuna njia kuu mbili lakini hapa nitapenda kuelezea moja ambayo ni nzuri zaidi na salama zaidi.


1: Kutoka nje ya mwili ukiwa wewe binafsi.

2: Kutoka nje ya mwili kwa msaada wa sauti yaani (Binaural beats)

View attachment 420201


HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU!

Ukiwa katika hali ya utulivu na utayari na amani na pia kujiamini kuwa leo nitaweza kutoka kwa mara ya kwanza,

HATUA ZA KUFUATA:
1; Oga vaa nguo safi zisizo bana yaani yaweza kuwa hata night dress ambayo ni laini au nguo yoyote itakayokufanya uwe vema na huru katika kufanya jambo hili,

2: Lala chali mgongo ukiwa umenyooka vema huku umefumba macho,
hakikisha hukazi mwili wala kufanya focus yoyote katika mwili wako ili uweze kufanya vema na kwa usawa na utulivu, kuna muda utahisi unashindwa na koo lako linajaa mate usihofu ni hisia tu maana hata ukimeza mate inakuwa ni kama umeanza upya

View attachment 420202

3: wakati ukiendelea kuutafuta utulivu utapata vishawishi vya kujigeuza au kujitingisha usiweke mawazo yako huko usiweke wazo moja wala usilenge wazo sehemu moja wala usitengeneze picha yoyote akilini wewe tulia tu.
Kumbuka ili kufanikisha zoezi lolote la kiroho UTULIVU,UTULIVU,UTULIVU pekee ndio jambo au kitendo au maamuzi pekee ya kukufanikishia jambo la kiroho,
Usijishike wala kujitingisha wewe tulia tu UTULIVU ndio kitu kiwe kinachozunguka kwenye akili yako na mwili wako na pumzi yako iwe inapumua neno moja tu TULIA.
utaanza kuhisi uzito kwenye viungo mbali mbali vya mwili wako hasa kichwa.

4: Usitingishe macho wala kuchezesha mwili wako.
tulizana usiogope wala usihofu kwa maana hakuna cha kukuogopesha kwa wakati huo zaidi ya mwili wako ni sawa na mtu aliyelala usingizi maana hata kama mwili wako utakuwa na maumivu sehemu basi hujipoza wenyewe kwa ganzi salama na hata kama mwili ukitaka kupata tatizo wenyewe utakuweka sawa kujidhuru ni jambo ambalo halipo ukiwa umelala aliyekuumba alihakikisha usalama wako wakati umelala.

5: Subiri na utulizane kwenye pumzi yako lakini pia ifikie muda hata pumzi nayo utakuwa huna habari nayo maana nayo kuna muda dakika kadhaa baada ya zoezi inakuwa kero kuifuatilia (Hapa unakuwa unaupa taarifa ubongo wako kuwa mwili wote umeshalala)

6: ukiweza kujizuia kujigeuza geuza au kujikuna na kujitingisha Ubongo wako utatambua umelala na utaruhusu mwili wako kuachia Ganzi Salama ya mwili mzima.
Utahisi kama kitu kinakuvaa kutoka miguuni inaenda inapanda itakapofika kifuani utahisi uzito katika kifua chako zaidi na utahisi kama umewekewa kimzigo pumzi itaanza kuja kwa kasi kidogo hapo ndio unatakiwa kumaintain mapigo ya moyo wako usiache yapige kwa kukutia hofu na kukujaza mashaka tulia na weka furaha kwamba upo karibu kufanikiwa,


ikifika kichwani ndio sehemu pekee ambayo unaweza kufanikisha au kuribu zoezi zima maana kuna muda inaweza kukupindisha kichwa pembeni au inaweza kudidimiza kichwa chako ganzi hiyo ambayo huwa inakinga miili yetu kutokujiumiza wakati wa kuota

Mfano:
Sleep walking(unaota huku unatembea) au wakati unapigana ndotoni usiweze kujipiga au kujiumiza.

7: Wakati hali hii inatokea hapo ndipo unaweza kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi.
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana
ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi
(hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni inashtusha kidogo).
haichukui muda ni kama sekunde 30 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo na kukutisha kama ni muoga kwa maana unaweza hisi utakuwa hivyo moja kwa moja.

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka. tengeneza picha Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine na ndio unaweza kutumia kwa kutoka.

Lakini kwa wengine hii huwa ngumu sasa hapo unatakiwa uangalie Dali na kuhisi ikiwa ni pamoja na mbinu kuwa kamba inashuka na kukukuta unaishika kisha unahisi inakuvuta na kukufanya uelee.
Lakini kwa sisi wazoefu ukifika kwenye ganzi unavisualize kuinuka unainuka.

9: Baada ya hapo utahisi unaelea na hatua kadhaa simama wima tizama kitandani mwili wako uliouacha ukiuona basa tizama silver cord kama ipo imekuunganisha na mwili wako. ukiiona basi jua upo nje ya mwili lakini usipoona mwili wako na silver cord huioni basi jijue unaota na haupo nje ya mwili hapo pia unaweza kufurahia na ndoto yoyote unayotaka kuiota lakini pia unaweza kutoka nje ya mwili ukiwa ndani ya ndoto nimeeliza jinsi ya kufanya kwenye makala ya kucid dream nje ya mwili katika blog yangu.

10: Hongera umeweza fanya chochote unachojiskia hakina madhara kwenye Ulimwengu wa nyama kwa kuwa wewe ndio umeanza lakini kwa masters kinakuwa na Athari.
lakini vipo ambavyo vinaonekana in real world nakushauri ufanye unayofanya salama kuna mengi utajua ya kufurahisha na mengine ya kusikitisha play safe there.


ANGALIZO:
Lakini pia kwa wanaoanza ni bora asiende mbali aishie karibu na nyumbani kisha azunguke zunguke ili kuweza kuzoea mazingira ya mwili huo na hali hiyo.


View attachment 420205
Wakati unatizama mwili wako utakapoiona silver cord inakuwa inaonekana kama utando huo pichani.

View attachment 420206


View attachment 225535


Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:

Rakims

View attachment 420204
 
 
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection.

Ni ule uwezo wa mtu kutengana na mwili wake kwa fikra katika imani Husemwa Kiroho.
Pale ambapo roho yako inakuwa imetengana na mwili wako wa nyama.

Utokaji huu wa nje ya mwili upo wa aina mbili au tatu na wenyewe ni wa roughly watu wanafundisha kwa maelezo marefu na mapana hali ya kuwa ni kitu kifupi tu watu wanatakiwa kujua jinsi ya kutoka na mengine kujifunza pale wanapokuwa wameshatoka ndio maana huitwa OOBE yaani Out Of Body Experience.
Baada ya wewe kutoka nje ya mwili umeexperience nini?
Na kile ulichoexperience wewe sio kukiweka sheria maana kila mtu anaweza kutoka nje ya mwili ikiwa atapata muongozo mzuri sasa kuna watu tofauti tofauti wanaweza kutoka nje ya mwili nao wakaja na makala zao za kukurupuka na Experience zisizo na kichwa wala miguu wengine experience zao ni za dhana.

View attachment 420199

FAIDA ZAKE:

Hakuna chochote utakachopenda au kuthubutu kufanya pasipo kujua faida wala hasara au Athari zake zifuatazo ni faida chache anaweza kupata yoyote mwenye kuthubutu kutoka nje ya mwili:

1. Kujitambua kuwa wewe hufi na kuondoka moja kwa moja: Hili ni tukio litakalo kubadilishia maisha. Mamilioni ya watu wamekua wakithibitisha kuwa mtu akifa hapotei moja kwa moja bali kuna maisha mengine ambayo ataishi wale wasioamini life after dealth.

2. Kuongeza uwezo mzuri wa kulala:
Hii husaidia mtu kulala katika hali ya usalama na kupata nguvu inayozungumziwa baada ya kulala na kujua ni ipi sababu kubwa ya kulala tunalala ili miili yetu ipumzike roho zetu zianze kuishi.

3. Kuongeza nguvu ya majariwa:
Hii inaongeza kipawa cha unabii na uwezo mkubwa wa kumsoma mtu akili hufahamika kama kama mind reading au telepathy, kasimama hapo wewe unaongea na roho yake.

4. Kujiendeleza Kimaisha:
Ukiwa nje ya mwili inakuthibitishia kuwa wewe ni zaidi ya binadamu wa kawaida hivyo hukuongezea akili ya utendaji zaidi kwa kutumia maajabu na si nguvu tena.

5. Inakuongezea kukomaa kiroho:
Watu wengi wamekuwa na roho nzuri baada ya kuishi na kiumbe zaidi ya asiekuwa mwanadamu.

6. Inaongeza heshima ya maisha:
Hii hukufanya umuheshimu kila kiumbe na umuhurumie hata paka maana kule una uwezo wa kuongea hata na wanyama pia.

7. Inaongeza akili kumbukumbu na ubunifu:
kupitia ufahamu utakao kuwa nao kwa zoezi hili inaeleweka kwamba utakuwa umefungua sehemu za ubongo wako za fahamu zinazodeal na akili pamoja na kumbukumbu.

8. Kukuwezesha kupata majibu yako mwenyewe kwa spiritual guide:
kutoka nje ya mwili kutakujibia maswali mengi ambayo ulikua huwezi kuyajibu katika ulimwengu wako wa kiroho.

9. Kuondoa woga wa kufa:
kuhofia kifo ni kuhofia jambo usilolijua.utakapotoka utaona kwamba kumbe nina uwezo wa kuishi maisha ya pili hata nikifa.

10. Kutambua na kuelewa mambo ya kale yaliyopita:
utajifunza jinsi ya kupanua ubongo wako haya kuzungumza na historia za kale ingawa unaweza kuona pia tukio lijalo ila hii ni kwa wenye power ya precognition na retrocognitions.

11. Kupaa na kufurahi:
Ulimwengu wa roho hata anga sio mpaka. unaweza kupaa nyuma ya mawingu. na ukapaa kama puto. unataka kuwa na macho ya ndege mjini? la shaka! au unataka kupaa na kuogelea kama samaki dolphin na hata kuruka kama ndege, au kudumbukia ndani na kuogelea kama samaki!

ukitaka unaweza hata kufika kwenye sayari za juu na zile ambazo bado hazijawa discovered wazungu walifanya zamani sana hii na kwenda huko kabla hata ya kurusha ndege, unaweza kwenda popote duniani na nje ya dunia hata kuwatembelea marafiki kila corner ya ulikmwengu

12. Kuthibitisha kwamba mwili wako utakufa ila akili au nafsi yako itabaki tu

13. utayaona mengi maisha yako yaliopita na kuyachezea na utakuwa na nafasi ya kuona kila kitu ambacho unatakiwa kufanya ufanikiwe:
Pia hii yaweza kuwa tiba kubwa kwa magonjwa yasiyotibika kwa maana unaingia hata sehemu ambazo zimefichwa hasa na waweza kula dawa yeyote.

14. Kukutana Na Malaika wako wawili
Utawaona hawa hatua ya kwanza kutoka na kukuongoza kwa mengi ukitaka kuwaona.
japokuwa hawaonekani moja kwa moja ila kama vivuli

15. Kuongeza Nguvu ya miujiza
Kutoka huku kutakufanya uongeze nguvu zako za miujiza kama vile
kuona vitu visivyoonekana kwenye real world, kuskia sauti za mawazo ya mtu, kujua kinachotokea dk kadhaa zijazo, kumlazimisha mtu kufanya utakacho (mind control), kuhisi jambo fulani linatokea, nguvu ya unabii,

16. Kuona aura ya kila kitu na nguvu zingine nyingi tu. haya yote yatakutokea kwa maana umezidi mpaka wa ubongo wako hapa ndio tunaanza kuona more than a normal brain function(waweza kuwa genius pia ukitumia vizuri, anyway usitumie manguvu yote hovyo utaanza kuhisi kuchanganyikiwa fuata hatua kwa hatua.

17. kujaza busara akilini.
hii hukufanya uzidishe busara katika akili yako na amani kuu katika roho yako

18. Kuongeza tamaa ya kupata majibu
Kutoka nje ya mwili kutakufanya kujibu maswali na kujua zaidi kwamba wewe ni nani? upo wapi? na unafanya nini? na unaenda wapi? ukijua hayo hutabadilika mfumo wako wa maisha?

19. Kuwaona waliokufa
Hapa utakutana na ndugu zako uliokuwa ukiwapenda waliotangulia mbele za haki. Kukutana nao huku kutakusaidia sana kuwasaidia kama kuwalipia madeni na kukuonyesha mali walizoficha kama walikua wanakupenda.

20. Kujiongezea maajabu ya maisha
hapa utajifunza mengi kuona kila kiumbe kisichoonekana kupajua sehemu watu na nyumba kabla hujaenda

21. Kupona
Ukitoka nje ya mwili unakuwa umejitibu hapa utaweza kujitibu mwenyewe na wengine na wanyama pia.

Na hizo bado ni baadhi tu:
View attachment 420282
Ni aina ya uwezo ambao huwa nao watu wote kwa 100%
Lakini

65% Ni watu wasiojua na wala hawaamini kama inawezekana

25% Ni watu wanaojua na wanaamini inawezekana

10% Ni watu wanaoju na wanaamini lakini vile vile wameshaweza na wanatumia katika maswala mbali mbali.

Hatua za kufuata ili uweze kutoka nje ya mwili


JINSI YA KUFANYA:
Ili kuweza kutoka nje ya mwili kuna njia kuu mbili lakini hapa nitapenda kuelezea moja ambayo ni nzuri zaidi na salama zaidi.


1: Kutoka nje ya mwili ukiwa wewe binafsi.

2: Kutoka nje ya mwili kwa msaada wa sauti yaani (Binaural beats)

View attachment 420201


HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU!

Ukiwa katika hali ya utulivu na utayari na amani na pia kujiamini kuwa leo nitaweza kutoka kwa mara ya kwanza,

HATUA ZA KUFUATA:
1; Oga vaa nguo safi zisizo bana yaani yaweza kuwa hata night dress ambayo ni laini au nguo yoyote itakayokufanya uwe vema na huru katika kufanya jambo hili,

2: Lala chali mgongo ukiwa umenyooka vema huku umefumba macho,
hakikisha hukazi mwili wala kufanya focus yoyote katika mwili wako ili uweze kufanya vema na kwa usawa na utulivu, kuna muda utahisi unashindwa na koo lako linajaa mate usihofu ni hisia tu maana hata ukimeza mate inakuwa ni kama umeanza upya

View attachment 420202

3: wakati ukiendelea kuutafuta utulivu utapata vishawishi vya kujigeuza au kujitingisha usiweke mawazo yako huko usiweke wazo moja wala usilenge wazo sehemu moja wala usitengeneze picha yoyote akilini wewe tulia tu.
Kumbuka ili kufanikisha zoezi lolote la kiroho UTULIVU,UTULIVU,UTULIVU pekee ndio jambo au kitendo au maamuzi pekee ya kukufanikishia jambo la kiroho,
Usijishike wala kujitingisha wewe tulia tu UTULIVU ndio kitu kiwe kinachozunguka kwenye akili yako na mwili wako na pumzi yako iwe inapumua neno moja tu TULIA.
utaanza kuhisi uzito kwenye viungo mbali mbali vya mwili wako hasa kichwa.

4: Usitingishe macho wala kuchezesha mwili wako.
tulizana usiogope wala usihofu kwa maana hakuna cha kukuogopesha kwa wakati huo zaidi ya mwili wako ni sawa na mtu aliyelala usingizi maana hata kama mwili wako utakuwa na maumivu sehemu basi hujipoza wenyewe kwa ganzi salama na hata kama mwili ukitaka kupata tatizo wenyewe utakuweka sawa kujidhuru ni jambo ambalo halipo ukiwa umelala aliyekuumba alihakikisha usalama wako wakati umelala.

5: Subiri na utulizane kwenye pumzi yako lakini pia ifikie muda hata pumzi nayo utakuwa huna habari nayo maana nayo kuna muda dakika kadhaa baada ya zoezi inakuwa kero kuifuatilia (Hapa unakuwa unaupa taarifa ubongo wako kuwa mwili wote umeshalala)

6: ukiweza kujizuia kujigeuza geuza au kujikuna na kujitingisha Ubongo wako utatambua umelala na utaruhusu mwili wako kuachia Ganzi Salama ya mwili mzima.
Utahisi kama kitu kinakuvaa kutoka miguuni inaenda inapanda itakapofika kifuani utahisi uzito katika kifua chako zaidi na utahisi kama umewekewa kimzigo pumzi itaanza kuja kwa kasi kidogo hapo ndio unatakiwa kumaintain mapigo ya moyo wako usiache yapige kwa kukutia hofu na kukujaza mashaka tulia na weka furaha kwamba upo karibu kufanikiwa,

ikifika kichwani ndio sehemu pekee ambayo unaweza kufanikisha au kuribu zoezi zima maana kuna muda inaweza kukupindisha kichwa pembeni au inaweza kudidimiza kichwa chako ganzi hiyo ambayo huwa inakinga miili yetu kutokujiumiza wakati wa kuota

Mfano:
Sleep walking(unaota huku unatembea) au wakati unapigana ndotoni usiweze kujipiga au kujiumiza.

7: Wakati hali hii inatokea hapo ndipo unaweza kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi.
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana
ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi
(hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni inashtusha kidogo).
haichukui muda ni kama sekunde 30 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo na kukutisha kama ni muoga kwa maana unaweza hisi utakuwa hivyo moja kwa moja.

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka. tengeneza picha Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine na ndio unaweza kutumia kwa kutoka.

Lakini kwa wengine hii huwa ngumu sasa hapo unatakiwa uangalie Dali na kuhisi ikiwa ni pamoja na mbinu kuwa kamba inashuka na kukukuta unaishika kisha unahisi inakuvuta na kukufanya uelee.
Lakini kwa sisi wazoefu ukifika kwenye ganzi unavisualize kuinuka unainuka.

9: Baada ya hapo utahisi unaelea na hatua kadhaa simama wima tizama kitandani mwili wako uliouacha ukiuona basa tizama silver cord kama ipo imekuunganisha na mwili wako. ukiiona basi jua upo nje ya mwili lakini usipoona mwili wako na silver cord huioni basi jijue unaota na haupo nje ya mwili hapo pia unaweza kufurahia na ndoto yoyote unayotaka kuiota lakini pia unaweza kutoka nje ya mwili ukiwa ndani ya ndoto nimeeliza jinsi ya kufanya kwenye makala ya kucid dream nje ya mwili katika blog yangu.

10: Hongera umeweza fanya chochote unachojiskia hakina madhara kwenye Ulimwengu wa nyama kwa kuwa wewe ndio umeanza lakini kwa masters kinakuwa na Athari.
lakini vipo ambavyo vinaonekana in real world nakushauri ufanye unayofanya salama kuna mengi utajua ya kufurahisha na mengine ya kusikitisha play safe there.


ANGALIZO:
Lakini pia kwa wanaoanza ni bora asiende mbali aishie karibu na nyumbani kisha azunguke zunguke ili kuweza kuzoea mazingira ya mwili huo na hali hiyo.


View attachment 420205
Wakati unatizama mwili wako utakapoiona silver cord inakuwa inaonekana kama utando huo pichani.

View attachment 420206


View attachment 225535


Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:

Rakims

View attachment 420204
Mkuu vipi kama ukienda mbali ukapita kwenye makazi ya mtu ambaye ana kinga, haiwezi kunasa ukatafsiriwa kama mchawi?
 
Back
Top Bottom