Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi ninachoomba kujua hukiki [emoji116][emoji116] naomba unisaidieAstral Projection au kwa maana nyingine Out of Body Experience (OBE) inafanana sana na Near Death Experience (NDE).
Hzi maana yake unaanza kujua hata kifo kinakuwaje na hivyo huwezi tena kuogopa kifo maana ni matukio yanayofanana sana.
For experienced meditators hii ni kawaida sana kwao
Hii inakuwa ni nje ya akili zako za kawaida kama unazotumia kuandika hapa.Mkuu mimi ninachoomba kujua hukiki [emoji116][emoji116] naomba unisaidie
Hivi ikisambaa mwili mzima wakati wa kutoka, unafumbua macho kwa namna gani ili uone kama umetoka
Nishakuelewa sasa, goja niendelee na mazoeziHii inakuwa ni nje ya akili zako za kawaida kama unazotumia kuandika hapa.
You just observe internally not in a physical way.
Sijui naeleweka hapa mkuu.
Duuuh... Kiukwel mm pia hunikut iyo Hali ulivyo sema unahis mwili au move ila unakuw na uelewa kuwa upo on sense na cyo usingizi ila kutok Ivo cjawah. Wacha nitajarib pia ikija nitokea Ivo. Japo umeniogopesha ulivyo sema mwili wako ukaw unakukodolea macho[emoji23][emoji23][emoji23]MY TODAY EXPERIENCE
Ni ngumu kutofautisha kati ya astral projection na lucid dream katika experience....huwa nina attempt sana astral projection or lucid... Leo bhana nilistuka mida kama ya saa nane, usingizi ulijuwa umekata so nikachezea simh then baada ya nusu saa nikarudi kulala...kama di 15 hv nikashtuka ila nilikuwa siwezi move mwili wangu (huwa napatakaga kauoga kidogo kama ulifanya research youtube kapo sijajua ni uongo au lah mambo ya shadow create like people) so nikasema embu ni attempt kutoka nje ya mwili kimawazo nilishangaa ilikuwa rahisi kuliko siku zote za nyuma ambapo iliniwia ugumu sana...nikashuka kitandani ili nihakikishe kwamba niko nje ua mwili nikaamua kugeuka na kuuona vizuri mwili wangu ukiwa umelala kabisa then nikaangalia umbrical cord ila sikufanikiwa kuiona basi bhana nikarudi nyuma huku nikiangalia mwili wangu ghafla nikaona umefungua macho unaniangalia (kiukweli niliogopa) tena umenikodolea macho kabisa...nikajaribu kuchuchuma( kama kupigwa squash vile) na kuinuka nikaona kabisa nikichuchumaa ule mwili unainuka kabisa huku ukiniangalia then nikirudi juu unarudi kulala huku ukiniangalia....nikaona isiwe kesi nikafumba macho nikaimagine nimerudi kwenye mwili wangu nikafanikiwa japo bado nilikuwa siwezi move zaidi ya macho tu...
THAT WAS MY EXPERIENCE TODAY japo sijajua if it was astral projection or lucid dream JAPO nililala huku mwezi ukiwa unanimulika
Rakims
sio haraka hivyo ni mchakato wa taratibu sanaLeo nimejaribu nimeshindwa kabisa msaada jaman
Nielezee nakosea wapsio haraka hivyo ni mchakato wa taratibu sana
duuh hiyo ndo uliingia ukiwa ndotoniNadhani huwa ni ndoto tu hizi, si mara moja ni mara kadhaa huwa nashtuka nipo angani nazurula kuangalia, na kuna siku jamaa simjui akawa ananikimbiza huko huko juu 😂 tunaelea, simjui aseee!.
Hiyo Hali inaitwa Dejavu,Tafta maarifa kuhusu Dejavu utapata majibu ya maswali yakoIvi na ile hali kuna nyakat unakuwa unaona kama tukio linalotokea kwa wakat huo lilishawahi kutokea kabla, kuanzia eneo,watu mpk stty mnazoongea zinakua ni zile zile hyo inatokana na nini??
Nielezee nakosea wap
ndio nini tena hii mkuu??cannabis to boost your Transcendence
hizo cannabis zinasaidiaUnatakiwa kukaa mbal na sex na pombe
Hata km umeoa
Sex ni Intoxication, make sure una retain sperms for long time
Ukifanikiwa kuamka utakuwa very smart
Science nyingi inagundulika through meditation and astral awareness
Km unapata tabu sana you can use cannabis to boost your Transcendence