Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Ahsante mkuu umenipa moyo sana na huo ni ushahidi kuwa hii kitu inawezekana. ila jina lako ndo limenikatisha tamaa. so nijuze kama upo serious. ulijiona?

Mkuu hiyo ID isikukatishe tamaa kwani niliamua kuitumia baada ya kujiona mjinga kwa kuto kuyatambua yanitokeayo na kila nikiiona napata hamu ya kujifunza mambo mbalimbali yanihusuyo kama binadamu!!
Hiyo kitu inawezekana kabisa na nimeifanya mara nyingi,lakini bado sijakomaa kwa sababu nilikuwa siijui!
Hapo mwanzo nilipokuwa nikianza kuhisi ganzi,nilikuwa nikiogopa na kudhani labda ndio jinamizi na nilikuwa nakemea kwa jina Yesu hadi nilikuwa nikihisi nawapigia wenzangu kelele!, Ajabu hawakuwahi hata siku moja kusikia nikikemea.
Hapo ndipoanza kujiuliza hii ni nini?
Bahati nzuri wakati napitia JF as a guest member nilikutana na uzi unaohusu ASTRAL PROJECTIO na jinsi inavyokua!
Siku iliyofuata ile hali ya ganzi ilipokuja nili relax na kujaribu kujiinua bila kujitikisa, hapo nilisikia mlio mkali kama wa kengele ya umeme, nilikuwa nikitaka kujiinua ule mlio unazidi huku ukiambatana na kitu kama vibrations zikianzia kichwani na kusambaa mwili mzima.
Ghafla vibration,ganzi na zile kelele zilikoma,hapo nilikuwa huru kuinuka kitandani nikasimama na nilikuwa mwepesi kama vile hakuna gravity.
Nilipo geuka nyuma ndio nilijiona nimelala na nilistuka kweli! nilihisi ndio labda nimekufa!
Nilifumba macho na ghafla nilivutwa kwa nguvu kurudi kitandani(sekunde moja) kama nimevutwa na sumaku na nikaamka hapohapo!!
Hiyo kitu inawezekana na ipo Mkuu Tom jelly!!!!!
 
Mkuu hiyo ID isikukatishe tamaa kwani niliamua kuitumia baada ya kujiona mjinga kwa kuto kuyatambua yanitokeayo na kila nikiiona napata hamu ya kujifunza mambo mbalimbali yanihusuyo kama binadamu!!
Hiyo kitu inawezekana kabisa na nimeifanya mara nyingi,lakini bado sijakomaa kwa sababu nilikuwa siijui!
Hapo mwanzo nilipokuwa nikianza kuhisi ganzi,nilikuwa nikiogopa na kudhani labda ndio jinamizi na nilikuwa nakemea kwa jina Yesu hadi nilikuwa nikihisi nawapigia wenzangu kelele!, Ajabu hawakuwahi hata siku moja kusikia nikikemea.
Hapo ndipoanza kujiuliza hii ni nini?
Bahati nzuri wakati napitia JF as a guest member nilikutana na uzi unaohusu ASTRAL PROJECTIO na jinsi inavyokua!
Siku iliyofuata ile hali ya ganzi ilipokuja nili relax na kujaribu kujiinua bila kujitikisa, hapo nilisikia mlio mkali kama wa kengele ya umeme, nilikuwa nikitaka kujiinua ule mlio unazidi huku ukiambatana na kitu kama vibrations zikianzia kichwani na kusambaa mwili mzima.
Ghafla vibration,ganzi na zile kelele zilikoma,hapo nilikuwa huru kuinuka kitandani nikasimama na nilikuwa mwepesi kama vile hakuna gravity.
Nilipo geuka nyuma ndio nilijiona nimelala na nilistuka kweli! nilihisi ndio labda nimekufa!
Nilifumba macho na ghafla nilivutwa kwa nguvu kurudi kitandani(sekunde moja) kama nimevutwa na sumaku na nikaamka hapohapo!!
Hiyo kitu inawezekana na ipo Mkuu Tom jelly!!!!!

Sijisifu... Ila when comes about concentrating.
. niko vizuri. Nishawishi ili nifanye hiki kitu. Mimi siogopi kufa. Mimi ni mbabe sana. Hali ya ganzi nikiamua ije naweza. Ila sijawahi kutoka nnje. Nataka nitoke... Nikafanye survey somewhere nataka nijue kitu. (Udukuzi) please share more. Ili siku nikija huko ulimwengu huo. Tukutane.. Na ntakwqmbia nataka nifanye udukuzi gani
 
Ahsante sana mkuu Mbumbumbu wa mwisho umenipa ujasiri wa kuthubutu. Hahahahahaha AgentX Umenifanya nicheke sana kweny suala la ubabe.
 
Sijisifu... Ila when comes about concentrating.
. niko vizuri. Nishawishi ili nifanye hiki kitu. Mimi siogopi kufa. Mimi ni mbabe sana. Hali ya ganzi nikiamua ije naweza. Ila sijawahi kutoka nnje. Nataka nitoke... Nikafanye survey somewhere nataka nijue kitu. (Udukuzi) please share more. Ili siku nikija huko ulimwengu huo. Tukutane.. Na ntakwqmbia nataka nifanye udukuzi gani

AgentX uko vizuri hata napata amani kama bado duniani kifo kinadharaulika hivi halafu kwa kuwa uko vizuri itabidi pia ufanye kwa uhuru hilo zoezi bila kuhofia kuguswa..me nshafanya 2times but ile tendency ya kuona mwili wangu tena kitandani siwezi nimeishia hapo.kwa mujibu wa mmoja wa wanaofaham jambo hili (pasco) ukiguswa tu...R.I.P au uje tushangirie mafanikio yako katika zoezi hili.
 
AgentX uko vizuri hata napata amani kama bado duniani kifo kinadharaulika hivi halafu kwa kuwa uko vizuri itabidi pia ufanye kwa uhuru hilo zoezi bila kuhofia kuguswa..me nshafanya 2times but ile tendency ya kuona mwili wangu tena kitandani siwezi nimeishia hapo.kwa mujibu wa mmoja wa wanaofaham jambo hili (pasco) ukiguswa tu...R.I.P au uje tushangirie mafanikio yako katika zoezi hili.

Lakini hakuna uthibitisho wa aliye kufa sababu ya hii kitu
 
Mkuu asante sana kwa ilmu nzuri sana....kwa watu maalumu zaidi.

Naomba nami nichangie kiduchu.

Hizi ilmu zaitwa Universal Life Force Energy.

Na ili ufanikishe kuutumia mwili wako katika nguvu zake ...lazima ujue kwanza kua ipo miili aina 7.

1.Physical body...huu mwili ni kila mtu anao..na huu mwili ukiutegemea huezi fanya hayo mambo ya ajab ajab...itabid ufanye mambo yanayo endana na mwili wako huu.

2.Aura body. ..ndio mwili wa pili unaounfana na huo mwili wa kwanza.
Una umbali wa inchi 3 mpk 8.

Ukiweza kuutumia huu mwili utakua tafaut kias ba ule wa mwanzoni.

Na hapo utaweza kujimudu na athari mbaya...na utaoata nguvu pia.

3. Astral body..ndio ambao ulio tuelimisha hapa.

Kwa hiyo ungetufafanulia vzur ili sie wanafunzi tujue kua kueza fanya hayo mambo ..itakua ugumu mpaka tukieza kuondoka katika hii miili tulii nayo ya kawaida.


Utaona ni zoezi gumu ukianzia hatua ya mbele kabla hujamaliza hatua ya mwanzo.

Umeuliza maswali ya msingi sana lakini sijui kwanini Rakims hajakujibu iyo astral body ni mwili wa 4 wa binadamu ilitakiwa aelezee mwili wa 2 ambao ni aura body na wa 3 ambao ni etheric body maana mwili wa kwanza physical body unaeleweka lakini yeye ameruka mpaka astral body - out of body experience bila kutoa utangulizi ndo maana watu hawamuelewi.

Namaste!
 
Last edited by a moderator:
Umeuliza maswali ya msingi sana lakini sijui kwanini Rakims hajakujibu iyo astral body ni mwili wa 4 wa binadamu ilitakiwa aelezee mwili wa 2 ambao ni aura body na wa 3 ambao ni etheric body maana mwili wa kwanza physical body unaeleweka lakini yeye ameruka mpaka astral body - out of body experience bila kutoa utangulizi ndo maana watu hawamuelewi.

Namaste!

Labda anajipanga zaid..mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hali hii inatokea pale mwanadamu anapowaza kitu kimoja kwa kina na kwa muda mrefu/kushikilia wazo moja kwa muda kama wa dakika moja na kuendelea. Iwe kwa kujua au kwakutokujua
Na mara nyingi hutokea mtu akiwa amekaa au kulala chali. pia hata ukiwa unatembea inaweza kukutokea ukajikuta unapishana na watu au mtu ambaye ni rafikiako ukashindwa kumsalimia kutokana na hiyo hali alafu ukitembea kama mita chache unakumbuka he? Kumbe nimepishana na fulani. unakuwa kama unaota vile.... Hali hii ukiweza kuifikia kwa kuamua/kujijua kuwa upo kwenye stage hiyo huwa ni stage nzuri sana ya kuuongoza ufahamu wako. Tatizo ni kuwa hutakiwi kuogopa au kudili na ule mwili wa kitandani, fanya kama unaelewa nini kinaendelea 👉ukijiuliza kulikoni nipo kwenye hali hii utaamkia kwenye ulimwengu wa kawaida 👉ukijikurupua pia utaamka baada ya sekunde chache 👇
Kinachotakiwa enjoy, yale mawazo ya uoga yakatae chapu na ujielekeze sehemu nyingine utashangaa imekuwaje hata kupaa unaweza au kama upo mji kasoro bahari unajielekeza mji wenye bahari na utakuwa huko. Stelingi yako ni mawazo yako.

Mkuu na wewe huwa unatoka nje ya mwili au?
 
Lakini hakuna uthibitisho wa aliye kufa sababu ya hii kitu

dah sasa hayo hatuwezi kuyathibitisha kwa sababu hata kama kafa mtu hawezi tena kuja kutoa ushahidi wala majirani hawawezi kujua kama hyo ndo sababu.
 
dah sasa hayo hatuwezi kuyathibitisha kwa sababu hata kama kafa mtu hawezi tena kuja kutoa ushahidi wala majirani hawawezi kujua kama hyo ndo sababu.

Hakuna mtu anayeweza kufa Kabla siku zake hazijafikia mwisho.
Na kama vile hiyo haitoshi hili halina uthibitisho hivyo halipo.
 
Hakuna mtu anayeweza kufa Kabla siku zake hazijafikia mwisho.
Na kama vile hiyo haitoshi hili halina uthibitisho hivyo halipo.

well said jimena but hapo hapo ukumbuke kutokujua na kutokufa mtu kabla ya siku zake ndo kumfanye mtu ajihatarishe kusimama katikati ya barabara wakati magari yanapita..no matter what! tahadhari muhimu..binafsi jana nimeperfom hii kitu ina raha flani amaizing but dah ndo hivyo inaogopesha.
 
well said jimena but hapo hapo ukumbuke kutokujua na kutokufa mtu kabla ya siku zake ndo kumfanye mtu ajihatarishe kusimama katikati ya barabara wakati magari yanapita..no matter what! tahadhari muhimu..binafsi jana nimeperfom hii kitu ina raha flani amaizing but dah ndo hivyo inaogopesha.

Silver cord haikitaki kirahisi hivyo
 
well said jimena but hapo hapo ukumbuke kutokujua na kutokufa mtu kabla ya siku zake ndo kumfanye mtu ajihatarishe kusimama katikati ya barabara wakati magari yanapita..no matter what! tahadhari muhimu..binafsi jana nimeperfom hii kitu ina raha flani amaizing but dah ndo hivyo inaogopesha.

subirini ushuhuda wangu sasa.
 
Umeuliza maswali ya msingi sana lakini sijui kwanini Rakims hajakujibu iyo astral body ni mwili wa 4 wa binadamu ilitakiwa aelezee mwili wa 2 ambao ni aura body na wa 3 ambao ni etheric body maana mwili wa kwanza physical body unaeleweka lakini yeye ameruka mpaka astral body - out of body experience bila kutoa utangulizi ndo maana watu hawamuelewi.

Namaste!

Hii mada aliyo anzisha Rakims ni real, wabongo little mind lazima waseme huu ni uchawi na kwa mada za namna hii ndo zinazofanya JF ionekane kweli ni home of great thinkers.
 
Last edited by a moderator:
ok ok mi mwenyw ngoja niwe serious sasa kwan nmejaribu mara moja hapa nkaona hisia za kumeza mate zinakuja. nameza naanza upya hata kweny ganz sifik. ngoja nikomae ntawaletea mrejesho.

Hooooo ucmeze sasaaa doh
 
walim wa hii mambo anifundishe tafadhal namba ya kimeo changu ni 0756684460
 
hivi inawezekana kutoka nje ya mwili na kutembelea sayar kama mars,Jupiter,Pluto n.k
 
Back
Top Bottom