Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Ndio astral sex ipo uwezekana wa ku doo upo, kumbuka vyote unavyofanya katika ulimwengu wa kawaida hata kwenye astral vipo, ila ni astral kwa astral tu, ila astral kwa mwili wa kawaida haiwezekani na nishaelezea kwenye comments zilizotangulia ila inashauriwa unapofanya astral epukana nakufanya sex, unajua ni kwa nini???.... sex upofanya huwa kuna exchange/kubadilishana energy/nguvu kutoka kwa mmoja kwenda kwa mwingine, ambazo zinaweza kuwa positive/chanya au negative/hasi. na hiii ipo hata kwenye ulimwengu wetu wa kawaida, unaweza kufanya mapenzi na mtu na ukawa mtu mwenye bahati sana inamaana hapo kakuongezea positive energy/nguvu chanya, na pia unaweza kufanya sex na mtu alafu ukawa ni mtu mwenye mikosi na mabalaa yakakuandama sana ina maana kakupa negative energy/nguvu hasi. na pia hata wewe unaweza kumpa nguvu zako positive akawa na bahati au ukampa negative/hasi akawa na mikosi sana. ndo maana kufanya sex sio mhimu sana maana kuna vitu vingi tu vya kufanya huko ambavyo vinafaida kwako.
Kuhusu ishu ya speed inategemea na vibration yako, ndipo itakapokufikisha na ukumbuke pia uwezo wa kiroho tupo tofaut... ndo maana unashauriwa kupunguza kula red meat/nyama nyekundu au matumizi ya alcohol/pombe/sigara .... hivi ni vitu vinavyofanya uwe na vibration ndogo hivo kukupunguzia focus na speed. na pia acha matendo maovu au upunguze....silver cord haiwe kukatka we elewa ivo na pia huwez kupotea, jaribu kupitia coments zilizo tangulia maana hv vtu vyote vimeelezewa kiundan zaidi.

Maelezo haya ni msaada mkubwa kwa wengi
 
Dah! Na Me Natak Niwe Merlin Vp Ipo Hyo Elim Ama Ndo Niixhie Kuwazaga Vpo Kumbe Horaaa,,,
 
hivi inawezekana kutoka nje ya mwili na kutembelea sayar kama mars,Jupiter,Pluto n.k

Unaweza Lakini Don't Enter There Not Safe Sana Mfano... Mara Ya Saba Mimi Kufanya Astral Projection Nilinyooka Juu Nikaziendea Nyota Nikafika Out Of World Nikaona Ilivyo It Was Like A Movie Nikataka Kupima If I Can Die By Reach The Sun As Long Nilivyokuwa Nasogea Kuelekea Jua Ndio Nilivyozidi Kuona Mwili Wangu Wa Astral Body Unavyozidi Kuwa Silver Finally Kuna Vitu Kama Miale Mifupi Mifupi Ya Mwanga Urefu Wa Nchi Kumi Vikawa Vinazunguka Mwili Wangu Kuupamba Ni Tukio Ambalo Siwezi Kusahau Its Was My Seventh Day Of OBE.....

Baada Ya Vile Kama Vinyota Kunizunguka Nikaanza Kuona Navutwa Upande Nilikotoka, I Try To Pull More Lakini Ilikuwa Ndio Urefu Wa Mwisho Kwenda Kule Nilikotaka Kwenda Nikavutwa Taratibu Wakqti Navutwa I Felt Hope,Happy,Powerful n Strong I Felt Amazing...

Don't Try Go Out Of This World If Its Your First,Second Or Third Experience Heri Hata Iwe Ni Ya 6 Au Ya 9.....

"Rakims"
 
Unaweza Lakini Don't Enter There Not Safe Sana Mfano... Mara Ya Saba Mimi Kufanya Astral Projection Nilinyooka Juu Nikaziendea Nyota Nikafika Out Of World Nikaona Ilivyo It Was Like A Movie Nikataka Kupima If I Can Die By Reach The Sun As Long Nilivyokuwa Nasogea Kuelekea Jua Ndio Nilivyozidi Kuona Mwili Wangu Wa Astral Body Unavyozidi Kuwa Silver Finally Kuna Vitu Kama Miale Mifupi Mifupi Ya Mwanga Urefu Wa Nchi Kumi Vikawa Vinazunguka Mwili Wangu Kuupamba Ni Tukio Ambalo Siwezi Kusahau Its Was My Seventh Day Of OBE.....

Baada Ya Vile Kama Vinyota Kunizunguka Nikaanza Kuona Navutwa Upande Nilikotoka, I Try To Pull More Lakini Ilikuwa Ndio Urefu Wa Mwisho Kwenda Kule Nilikotaka Kwenda Nikavutwa Taratibu Wakqti Navutwa I Felt Hope,Happy,Powerful n Strong I Felt Amazing...

Don't Try Go Out Of This World If Its Your First,Second Or Third Experience Heri Hata Iwe Ni Ya 6 Au Ya 9.....

"Rakims"

Ahsante sana kwa msaada wako... mi nishajaribu mara nyingi sana kutoka nje ya dunia ili niingie sayar nyingne lakin huwa kama nafika nusu tu alafu na luzi kontrooo... wakat AP nishafanya mara nyingi tu, Au vibration zangu bado ndogo???
 
Unaweza Lakini Don't Enter There Not Safe Sana Mfano... Mara Ya Saba Mimi Kufanya Astral Projection Nilinyooka Juu Nikaziendea Nyota Nikafika Out Of World Nikaona Ilivyo It Was Like A Movie Nikataka Kupima If I Can Die By Reach The Sun As Long Nilivyokuwa Nasogea Kuelekea Jua Ndio Nilivyozidi Kuona Mwili Wangu Wa Astral Body Unavyozidi Kuwa Silver Finally Kuna Vitu Kama Miale Mifupi Mifupi Ya Mwanga Urefu Wa Nchi Kumi Vikawa Vinazunguka Mwili Wangu Kuupamba Ni Tukio Ambalo Siwezi Kusahau Its Was My Seventh Day Of OBE.....

Baada Ya Vile Kama Vinyota Kunizunguka Nikaanza Kuona Navutwa Upande Nilikotoka, I Try To Pull More Lakini Ilikuwa Ndio Urefu Wa Mwisho Kwenda Kule Nilikotaka Kwenda Nikavutwa Taratibu Wakqti Navutwa I Felt Hope,Happy,Powerful n Strong I Felt Amazing...

Don't Try Go Out Of This World If Its Your First,Second Or Third Experience Heri Hata Iwe Ni Ya 6 Au Ya 9.....

"Rakims"
Alafu ni kitu gani kinachofanya astral body kubadilika kuwa silver???...maana kuna siku mi mwenyewe niliona kwa mbali nabadilika kuwa silver niliogopa sana ikabd nirud....
 
Alafu ni kitu gani kinachofanya astral body kubadilika kuwa silver???...maana kuna siku mi mwenyewe niliona kwa mbali nabadilika kuwa silver niliogopa sana ikabd nirud....

Bado kidogo nitaweza
 
Ahsante sana kwa msaada wako... mi nishajaribu mara nyingi sana kutoka nje ya dunia ili niingie sayar nyingne lakin huwa kama nafika nusu tu alafu na luzi kontrooo... wakat AP nishafanya mara nyingi tu, Au vibration zangu bado ndogo???

Unatakiwa Kwanza Ukamilishe Kuntrol Za Ground Kabla Hujaanza Kupaa Je.Unaweza Kutembea Vema Ardhini Unapoingia Astral Body Kama Unapaa As Mwezini It Means Bado Hujamaliza Ground Practices Na Je, Unaiskiaje Pumzi Yako Ukiwa Huko? Kama Hupumui Inavyotakiwa Means Bado Hujacomplete Ground... Dont Fly Kabla Hujakamilisha Ground Pia Hatua Ya Mwisho Ya Ground Ni Kupotea Na Kutokea Upande Wa Pia Hali Umekanyaga Chini Huna Control Huwenda Siku Ya Kwanza Ulitoka Na Kuruka... Wakati Hatua Ya Kwanza Watakiwa Ufanye Shapeshifting Kwanza Ili Kuzoea GROUND...

rakims
 
Alafu ni kitu gani kinachofanya astral body kubadilika kuwa silver???...maana kuna siku mi mwenyewe niliona kwa mbali nabadilika kuwa silver niliogopa sana ikabd nirud....

As Long As Unavyokomaa Ndio Inakuwa Silver Ni Kama Kinga Astral World... So Keep It Up..

Rakims
 
Spirit Mkuu Watu8 mambo haya hutoyaweza tuachie sisi wenyewe tunayoyafanya.Mambo ya Ngoswe Muachie ngoswe mwenyewe wewe angalia mambo yako yanavyokwenda. Usijaribu hiyo Elimu ya hali ya juu sio kila mtu anaweza kujaribu unaweza kupoteza maisha yako ukikosea japo kidogo.

hii ni elimu au ilim mkuu??
 
Unatakiwa Kwanza Ukamilishe Kuntrol Za Ground Kabla Hujaanza Kupaa Je.Unaweza Kutembea Vema Ardhini Unapoingia Astral Body Kama Unapaa As Mwezini It Means Bado Hujamaliza Ground Practices Na Je, Unaiskiaje Pumzi Yako Ukiwa Huko? Kama Hupumui Inavyotakiwa Means Bado Hujacomplete Ground... Dont Fly Kabla Hujakamilisha Ground Pia Hatua Ya Mwisho Ya Ground Ni Kupotea Na Kutokea Upande Wa Pia Hali Umekanyaga Chini Huna Control Huwenda Siku Ya Kwanza Ulitoka Na Kuruka... Wakati Hatua Ya Kwanza Watakiwa Ufanye Shapeshifting Kwanza Ili Kuzoea GROUND...

rakims

Mr Rakims naomba unielekeze jinsi ya kutoka nje ya mwili vizuri maana mimi naishia tu kwenye ganzi
 
Last edited by a moderator:
Mi pia sijaweza kutoka nje ya mwili zaidi ya kuishia kwenye ganzi, kwa uzoefu wako unadhani nakosea wapi?

kwani jimena ukifika kwenye ganzi ni kitu gani kinatokea au kinachofanya uishie hapo??? .... ili ijulikane msaada gan unatakiwa
 
kwani jimena ukifika kwenye ganzi ni kitu gani kinatokea au kinachofanya uishie hapo??? .... ili ijulikane msaada gan unatakiwa

Huwa naogopa na kuhisi naweza kukata roho anytime mana huhisi kama viungo vyangu vinakosa ushirikiano kisha naamka (kusema ukweli huwa najiamsha kwa nguvu ili nisije kuvuta)
 
Mr Aretas inabidi ujichunguze kwanza... ujue ni sababu gani inayofanya uishie hapo kwenye DMT/ganzi

Nikishafika hatua hiyo huwa kila ninachojaribu kufanya nashindwa na kujikuta nimerudi hali ya kawaida
 
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......

Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...

Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....


Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua

25% Ni Watu Wanaoijua

10% Ni Watu Wanaoitumia..

Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili

Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...

Njia Hizo Ni:

1; self Astral P...

2: Astral By Binaural


HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU....

1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana

2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....

3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....

4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...

5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)

6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)

7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana

8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine

9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......

10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....


ANGALIZO:

Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....


Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu


By: Rakims

Buddah...go on wt yo teaching....ila usije muacha m2 mahu2ti tu....thy gonn try t....put a warnin f possible
 
Last edited by a moderator:
Huwa naogopa na kuhisi naweza kukata roho anytime mana huhisi kama viungo vyangu vinakosa ushirikiano kisha naamka (kusema ukweli huwa najiamsha kwa nguvu ili nisije kuvuta)

ha ha ha aaah.... huwez kufa weweeee,,,, binadam hawez kufa kirahs hvo. Acha uoga. leo jarbu tena but.... Empty your mind.... then Focus.
 
Back
Top Bottom