Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Ndio astral sex ipo uwezekana wa ku doo upo, kumbuka vyote unavyofanya katika ulimwengu wa kawaida hata kwenye astral vipo, ila ni astral kwa astral tu, ila astral kwa mwili wa kawaida haiwezekani na nishaelezea kwenye comments zilizotangulia ila inashauriwa unapofanya astral epukana nakufanya sex, unajua ni kwa nini???.... sex upofanya huwa kuna exchange/kubadilishana energy/nguvu kutoka kwa mmoja kwenda kwa mwingine, ambazo zinaweza kuwa positive/chanya au negative/hasi. na hiii ipo hata kwenye ulimwengu wetu wa kawaida, unaweza kufanya mapenzi na mtu na ukawa mtu mwenye bahati sana inamaana hapo kakuongezea positive energy/nguvu chanya, na pia unaweza kufanya sex na mtu alafu ukawa ni mtu mwenye mikosi na mabalaa yakakuandama sana ina maana kakupa negative energy/nguvu hasi. na pia hata wewe unaweza kumpa nguvu zako positive akawa na bahati au ukampa negative/hasi akawa na mikosi sana. ndo maana kufanya sex sio mhimu sana maana kuna vitu vingi tu vya kufanya huko ambavyo vinafaida kwako.
Kuhusu ishu ya speed inategemea na vibration yako, ndipo itakapokufikisha na ukumbuke pia uwezo wa kiroho tupo tofaut... ndo maana unashauriwa kupunguza kula red meat/nyama nyekundu au matumizi ya alcohol/pombe/sigara .... hivi ni vitu vinavyofanya uwe na vibration ndogo hivo kukupunguzia focus na speed. na pia acha matendo maovu au upunguze....silver cord haiwe kukatka we elewa ivo na pia huwez kupotea, jaribu kupitia coments zilizo tangulia maana hv vtu vyote vimeelezewa kiundan zaidi.
Maelezo haya ni msaada mkubwa kwa wengi