Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)


Maelezo haya ni msaada mkubwa kwa wengi
 
Dah! Na Me Natak Niwe Merlin Vp Ipo Hyo Elim Ama Ndo Niixhie Kuwazaga Vpo Kumbe Horaaa,,,
 
hivi inawezekana kutoka nje ya mwili na kutembelea sayar kama mars,Jupiter,Pluto n.k

Unaweza Lakini Don't Enter There Not Safe Sana Mfano... Mara Ya Saba Mimi Kufanya Astral Projection Nilinyooka Juu Nikaziendea Nyota Nikafika Out Of World Nikaona Ilivyo It Was Like A Movie Nikataka Kupima If I Can Die By Reach The Sun As Long Nilivyokuwa Nasogea Kuelekea Jua Ndio Nilivyozidi Kuona Mwili Wangu Wa Astral Body Unavyozidi Kuwa Silver Finally Kuna Vitu Kama Miale Mifupi Mifupi Ya Mwanga Urefu Wa Nchi Kumi Vikawa Vinazunguka Mwili Wangu Kuupamba Ni Tukio Ambalo Siwezi Kusahau Its Was My Seventh Day Of OBE.....

Baada Ya Vile Kama Vinyota Kunizunguka Nikaanza Kuona Navutwa Upande Nilikotoka, I Try To Pull More Lakini Ilikuwa Ndio Urefu Wa Mwisho Kwenda Kule Nilikotaka Kwenda Nikavutwa Taratibu Wakqti Navutwa I Felt Hope,Happy,Powerful n Strong I Felt Amazing...

Don't Try Go Out Of This World If Its Your First,Second Or Third Experience Heri Hata Iwe Ni Ya 6 Au Ya 9.....

"Rakims"
 

Ahsante sana kwa msaada wako... mi nishajaribu mara nyingi sana kutoka nje ya dunia ili niingie sayar nyingne lakin huwa kama nafika nusu tu alafu na luzi kontrooo... wakat AP nishafanya mara nyingi tu, Au vibration zangu bado ndogo???
 
Alafu ni kitu gani kinachofanya astral body kubadilika kuwa silver???...maana kuna siku mi mwenyewe niliona kwa mbali nabadilika kuwa silver niliogopa sana ikabd nirud....
 
Alafu ni kitu gani kinachofanya astral body kubadilika kuwa silver???...maana kuna siku mi mwenyewe niliona kwa mbali nabadilika kuwa silver niliogopa sana ikabd nirud....

Bado kidogo nitaweza
 
Ahsante sana kwa msaada wako... mi nishajaribu mara nyingi sana kutoka nje ya dunia ili niingie sayar nyingne lakin huwa kama nafika nusu tu alafu na luzi kontrooo... wakat AP nishafanya mara nyingi tu, Au vibration zangu bado ndogo???

Unatakiwa Kwanza Ukamilishe Kuntrol Za Ground Kabla Hujaanza Kupaa Je.Unaweza Kutembea Vema Ardhini Unapoingia Astral Body Kama Unapaa As Mwezini It Means Bado Hujamaliza Ground Practices Na Je, Unaiskiaje Pumzi Yako Ukiwa Huko? Kama Hupumui Inavyotakiwa Means Bado Hujacomplete Ground... Dont Fly Kabla Hujakamilisha Ground Pia Hatua Ya Mwisho Ya Ground Ni Kupotea Na Kutokea Upande Wa Pia Hali Umekanyaga Chini Huna Control Huwenda Siku Ya Kwanza Ulitoka Na Kuruka... Wakati Hatua Ya Kwanza Watakiwa Ufanye Shapeshifting Kwanza Ili Kuzoea GROUND...

rakims
 
Alafu ni kitu gani kinachofanya astral body kubadilika kuwa silver???...maana kuna siku mi mwenyewe niliona kwa mbali nabadilika kuwa silver niliogopa sana ikabd nirud....

As Long As Unavyokomaa Ndio Inakuwa Silver Ni Kama Kinga Astral World... So Keep It Up..

Rakims
 

hii ni elimu au ilim mkuu??
 

Mr Rakims naomba unielekeze jinsi ya kutoka nje ya mwili vizuri maana mimi naishia tu kwenye ganzi
 
Last edited by a moderator:
As Long As Unavyokomaa Ndio Inakuwa Silver Ni Kama Kinga Astral World... So Keep It Up..

Rakims

Mi pia sijaweza kutoka nje ya mwili zaidi ya kuishia kwenye ganzi, kwa uzoefu wako unadhani nakosea wapi?
 
Mi pia sijaweza kutoka nje ya mwili zaidi ya kuishia kwenye ganzi, kwa uzoefu wako unadhani nakosea wapi?

kwani jimena ukifika kwenye ganzi ni kitu gani kinatokea au kinachofanya uishie hapo??? .... ili ijulikane msaada gan unatakiwa
 
kwani jimena ukifika kwenye ganzi ni kitu gani kinatokea au kinachofanya uishie hapo??? .... ili ijulikane msaada gan unatakiwa

Huwa naogopa na kuhisi naweza kukata roho anytime mana huhisi kama viungo vyangu vinakosa ushirikiano kisha naamka (kusema ukweli huwa najiamsha kwa nguvu ili nisije kuvuta)
 
Mr Aretas inabidi ujichunguze kwanza... ujue ni sababu gani inayofanya uishie hapo kwenye DMT/ganzi

Nikishafika hatua hiyo huwa kila ninachojaribu kufanya nashindwa na kujikuta nimerudi hali ya kawaida
 

Buddah...go on wt yo teaching....ila usije muacha m2 mahu2ti tu....thy gonn try t....put a warnin f possible
 
Last edited by a moderator:
Huwa naogopa na kuhisi naweza kukata roho anytime mana huhisi kama viungo vyangu vinakosa ushirikiano kisha naamka (kusema ukweli huwa najiamsha kwa nguvu ili nisije kuvuta)

ha ha ha aaah.... huwez kufa weweeee,,,, binadam hawez kufa kirahs hvo. Acha uoga. leo jarbu tena but.... Empty your mind.... then Focus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…