leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
sasa nyie mnatuzingua na masomo yenu ya ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu sasa uchawi wa live kabisaaa
sasa nyie mnatuzingua na masomo yenu ya ajabu
Hata mimi ningependa kujua kuhusu hilihivi uchawi maana yake nini?
Atamimi ilishawai kunitokea alafu ikapotea at a sijui mini mpaka Leo au ndio hiiMi nina mdogo wangu wa kike, kuna kipindi fulani alikuwa akilala usiku anastuka hali ya kuwa yupo usingizini anatoka kitandani anafika hadi mlangoni kama anataka kutoka nje halafu anarudi kitandani
Au wakati mwingine anatembea hatua chache kutoka kitandani halafu anarudi tena kula kama zombie flani hivi hata ukimsemesha haelewi nikawa najiuliza sanaa siku akifanikiwa kufungua mlango bila sisi kusikia ataenda hadi wapi? Lkn sikuizi haamki usiku tangu awe mdada mkubwa.
Hebu mkuu rakims nisaidie hii inahusiana na hiko ulichokieza hapo juu?
Hii hali imenifanya kila jambo ninalolifanya nione Kama nalirudia vile..ila ukikosea ndio parapanda Italia tena!!maana hii ni kujigeuza mfu..watu wengi sana wanaolalaga na kukutwa wamekufa hiki ndicho kinachowaondoshaga!!!
Mkuu @Mbumbumbu wa mwisho jaribu ila ujue wakati roho inaondoka hilo limwili unaloliacha hapo unamuachia shetani na anaweza kulichukua!!Aaah wapi!!!!!
Mkuu angalia usije uksondoka tukaimis michango yako humuGuys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
Daaah jamaa haogopi 😱Mkuu angalia usije uksondoka tukaimis michango yako humu
I know about dreams, a lot, may be even more than you comprehend. In fact, I can differentiate between dreams and visions. I can even know when I am attacked in a dream and destroy the attacker while sleeping and when I wake up I will continue to destroy the witchcraft. That is why Witches and people who practice those diabolical acts hates me.
A witch can use someones face and come to attack me, but believe me, I will know you before you go. I will use the power of the Blood of Jesus to destroy whatever plan/work the witch had and or was send to do to me.
This is the difference when you use the power of the Name Jesus and His Blood.
Welcome to Winners team, Team Jesus.