Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Alamziki
Kitufe cha like kimerudi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alamziki
Kitufe cha like kimerudi mkuu
Mimi application ya jf haifunguki sijui hata kwanini.
Tangu juzi ilikuwa nikifungua inajifunga. Lakini leo nikifungua inasachi hadi naitukana... Hivyo natumia uc browse kwa njia ya mobile.
Kulikuwa na tatizo toka juzi, leo mchana ndo imerudi, hivyo kwasasa jaribu hiyo application na itakuwa imeshakaa sawa
Nimejaribu sana mpaka sasa najaribu tu inanigomea.
Kwa sasa imefika hadi hatua nikaifuta na kuidownload upya lakini wapi.
try again and again... .. .
Ndio umekubali mchana huu aisee
vipi namna ya kurudia mwili na kuamka?
Baada ya kupitia page zote hapa nikasema ngoja nijaribu, nilipofikia nilipata ganzi mwili wote nilijaribu kujitingisha sikuweza, nilitaka kufungua macho sikuweza ikabidi nijifosi nikaamka, hopefully nitaweza next time
Hongera sana.
Baada ya kupitia page zote hapa nikasema ngoja nijaribu, nilipofikia nilipata ganzi mwili wote nilijaribu kujitingisha sikuweza, nilitaka kufungua macho sikuweza ikabidi nijifosi nikaamka, hopefully nitaweza next time
kitu gani kilikufanya ujitingishe tena??+
lakin hongera kwa kujarib, next time ukiwa na willing utaweza#
Baada ya kupitia page zote hapa nikasema ngoja nijaribu, nilipofikia nilipata ganzi mwili wote nilijaribu kujitingisha sikuweza, nilitaka kufungua macho sikuweza ikabidi nijifosi nikaamka, hopefully nitaweza next time
Hongera Jitahidi Unapofikia Kwenye Ganzi Usijitingishe Kuithibitisha Ganzi U Just Visualize Waking Up....
"Rakims"
kuoga na kuvaa nguo safi zisizobana n kama kuvaa sanda, vazi maalumu la maiti
Guys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion