Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

hii thread ni ngumu, mi naiogopa! sio kila kitu unaweza kujaribu, pasco na mzizi mkavu wameeleza madhara yake, ndoto nyingi ihutokea mtu anapokua usingizini hasa kwenye highest stage ya usingizi inayoitwa REM, hapo ndio mwili unaparalyse kwa ajili ya kujikinga na hatari katika stage hii! kama mambo mengine ya ndoto tu ni magumu mpaka ndoto ikikatika unafurahi, je haya ya kujitakia c ndio magumu zaidi! please don't try this at home.
 
Je huko unaposafiri huwezi nunua kitu? Nataka niende dubai duty free shop ikoje hii?
 
Atamimi ilishawai kunitokea alafu ikapotea at a sijui mini mpaka Leo au ndio hii
 
Hii hali imenifanya kila jambo ninalolifanya nione Kama nalirudia vile..ila ukikosea ndio parapanda Italia tena!!maana hii ni kujigeuza mfu..watu wengi sana wanaolalaga na kukutwa wamekufa hiki ndicho kinachowaondoshaga!!!
 
Hii hali imenifanya kila jambo ninalolifanya nione Kama nalirudia vile..ila ukikosea ndio parapanda Italia tena!!maana hii ni kujigeuza mfu..watu wengi sana wanaolalaga na kukutwa wamekufa hiki ndicho kinachowaondoshaga!!!

Aaah wapi!!!!!
 
Mkuu angalia usije uksondoka tukaimis michango yako humu
 

Duh jamaa nouma unayo hadi damu ya yesu sasa mi naomba kuuliza swali kwa nn wachawi wanakufuata sana ww na hiyo damu ya yesu uliipata wapi au ulikuwepo hizo 2000 years zilizo pita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…