Naona mmeamua kutoa somo la ulozi sio...
I respect your viewpoints Rakims, but I'm afraid you're taking allegiance with ignorance and diabolical celestial beings. The article in itself is full with speculation and unfounded assertion.
Your idea is based on your faith beliefs and dogmas, in contrast, your thread is more fiendish and supports witchcraft. My question is: are you open to the possibility that your belief system might be distorted and from not God? 
usitingishe macho wala kuchezesha mwili, ni kama maiti vile.
kulala chali ni kama maiti inavyolala
usishawishike kijigeuza, hata maiti hutamani kufanya hivyo kwa sabb maiti anawasikia ila tu haiwezi kurespond
mchezo mzima huo, ni kama al-mait havina tofauti
Guys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
Asante sana Pasco kwa hayo maangalizo.....
wakati nasoma uzi nilikuwa najiuliza maswali mengi sana ambayo nimeyapata kwenye haya maangalizo yako..... For sure I wont dare to try it....
Kila la heri kwa wanafunzi na wakufunzi wa hili
Hii mada imenifanya nimkumbuke binti mmoja (jini mahaba) alikuwa akinipeleka mahali popote nilipotaka kwenda hata huko angani juu sana. Ila alizidisha hamu ya kuwa karibu na mimi wakati wowote hata nikiwa kwa daladala ikabidi nimtimue.
Hii mada imenifanya nimkumbuke binti mmoja (jini mahaba) alikuwa akinipeleka mahali popote nilipotaka kwenda hata huko angani juu sana. Ila alizidisha hamu ya kuwa karibu na mimi wakati wowote hata nikiwa kwa daladala ikabidi nimtimue.
Mi nina mdogo wangu wa kike, kuna kipindi fulani alikuwa akilala usiku anastuka hali ya kuwa yupo usingizini anatoka kitandani anafika hadi mlangoni
kama anataka kutoka nje halafu anarudi kitandani au wakati mwingine anatembea hatua chache kutoka kitandani halafu anarudi tena kula kama zombie flani hivi hata ukimsemesha haelewi nikawa najiuliza sanaa siku akifanikiwa kufungua mlango bila sisi kusikia ataenda hadi wapi?
Lkn sikuizi haamki usiku tangu awe mdada mkubwa.
Hebu mkuu rakims nisaidie hii inahusiana na hiko ulichokieza hapo juu??😕
kwani unaweza ukaona kinacho endelea katika ulimwengu wa kawaida? Kama kwenda mahali watu wapo ukajumuika nao bila wao kujua uwepo wako?