Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Mkuu Rakims ikitokea mtu kakukuta ghafla kwenye zoezi anaweza kuona miili miwili?
 
Last edited by a moderator:
Guys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
Wewe u mwanafunzi mzuri sana.

And that is the start-the first step to strange unknown world. Ukimkuta Lucifer na wengine huko wasalimie kwa Jina la Yesu, waambie BWANA Yesu asifiwe!

Vv
 
"Find Out What Is A Lucid Dream Mkuu"

kawaida ya brain powers mara nyingi huonekana uchawi kwa watu kughairi kufikiri....
Rakims
I know about dreams, a lot, may be even more than you comprehend. In fact, I can differentiate between dreams and visions. I can even know when I am attacked in a dream and destroy the attacker while sleeping and when I wake up I will continue to destroy the witchcraft. That is why Witches and people who practice those diabolical acts hates me.

A witch can use someones face and come to attack me, but believe me, I will know you before you go. I will use the power of the Blood of Jesus to destroy whatever plan/work the witch had and or was send to do to me.

This is the difference when you use the power of the Name Jesus and His Blood.

Welcome to Winners team, Team Jesus.
 
Nikikosa usingizi mara nyingi usiku...huwa nalazimisha usingizi huo kuja. Huwa nafanya hivi, ninalala na kufumba macho bila kujari nalala kwa pozi gani;kisha nachagua sauti moja ya mdudu ambayo ni nzuri lakini ni ya aina moja (isipande na kushuka) naamua kuisikiliza hiyo tu huku nikiziacha nyingine. Haichukui muda na lala usingizi mzito. Je pia na mimi ninakuwa nimefanya astral projection?

N.B Blue hiyo mbinu ndo nimeiweka wazi leo hivyo kila uitumiapo kimaandisha ama katika kuongea na hadhara usisahau kuni nukuu kama TUJITEGEMEE, 2015
 
.....

A witch can use someones face and come to attack me, but believe me, I will know you before you go. I will use the power of the Blood of Jesus to destroy whatever plan/work the witch had and or was send to do to me.

This is the difference when you use the power of the Name Jesus and His Blood.

Welcome to Winners team, Team Jesus.

You are very right..! It works, I have done it too. the Name Jesus Christ is so powerful.
 
I know about dreams, a lot, may be even more than you comprehend. In fact, I can differentiate between dreams and a visions. I can even know when I am attacked in a dream and destroy the attacker while sleeping and when I wake up I will continue to destroy the witchcraft. That is why Witches and people who practice those diabolical acts hates me.

A witch can use someones face and come to attack me, but believe me, I will know you before you go. I will use the power of the Blood of Jesus to destroy whatever plan/work the witch had and or was send to do to me.

This is the difference when you use the power of the Name Jesus and His Blood.

Welcome to Winners team, Team Jesus.[/QUOTE

bora tu uongee kiswahili maana hujui useme nini....

kwanza mbona kama unajibu swali wakati sijakuuliza swali?

halafu mbona unatumia nguvu nyingi sana kujieleza?

Lakini Pia Sioni Ulichojibu Zaidi Ya Kutangaza Damu Ya Yesu..!

Kingine Nazungumzia Lucid Dream.... Wewe Unaniambia Dreams... Halafu Dreams Zako Unazozielezea Zinaonyesha Tu Unaupeo Mdogo Sana Wa Uelewa... em jirudie kujisoma hapa chini:

" I know about dreams, a lot, may be even more than you comprehend. In fact, I can differentiate between dreams and a visions. I can even know when I am attacked in a dream and destroy the attacker while sleeping and when I wake up I will continue to destroy the witchcraft. That is why Witches and people who practice those diabolical acts hates me"

cheki ulivyoharibu

1: english Ya Kata (asante mkapa schools)

2: Vijaongelea Visions Hapa Wala Dini

3: jicheke hapa

" I can even know when I am attacked in a dream and destroy the attacker while sleeping and when I wake up I will continue to destroy the witchcraft"

4: A witch can use someones face and come to attack me, but believe me, I will know you before you go. I will use the power of the Blood of Jesus to destroy whatever plan/work the witch had and or was send to do to me.

This is the difference when you use the power of the Name Jesus and His Blood....

so m ur witch nw!?

Watu Wakiongea Kiswahili Au Swanglish Mnatucheka Ila mkipewa nafasi Broken Tupu....

na kingine quote yako ipo kishambulizi fulani hivi...



Rakims
 
Last edited by a moderator:
.......

Watu Wakiongea Kiswahili Au Swanglish Mnatucheka Ila mkipewa nafasi Broken Tupu....

na kingine quote yako ipo kishambulizi fulani hivi...

Rakims


RED: Ndiyo...si mmesema astral projection ni hatua moja kuelekea kuwekeana mikataba na nguvu za giza(Sheitwani/Devil) !!

Mashambulizi ni lazima watu warudi kwa Muumba wa Mbingu na nchi.
 
NB: Kurudi Kwenye Mwili Wako Ukitaka Unarudi Tu Bila Tatizo Wala Kuukosa Hakuna Tatizo... Waweza Hata Kufumba Macho

Ukataka Ukifumbua Uamke Kwenye Mwili Wako Unaamka au unagonga kidole au unajiambia ni muda wa kuamka unaamka binafsi huwa narudi zangu kwenye mwili wangu nikiusogelea karibu zaidi au kutaka kuugusa naamka

Rakims

mkuu kwakua wewe ni mzoefu wa mambo haya embu tuelezee ni mambo yapi umeyaona huko?
 
RED: Ndiyo...si mmesema astral projection ni hatua moja kuelekea kuwekeana mikataba na nguvu za giza(Sheitwani/Devil) !!

Mashambulizi ni lazima watu warudi kwa Muumba wa Mbingu na nchi.

hahahahaaaah...! Si Unaona Mnavyokurupuka? Haya Uzi Wangu Wapi Unaona Nakwambia Unaweka Mkataba Na Shetani?

Jina Unalotumia Bora Ulibadili liwe "Tegemezi" Maana.... mmnh sijui unadamu ya kizushi....

Rakims
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom