Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 5,002
- 4,571
- Thread starter
- #121
Jambo usilolijua.............
Katika Quotes Zote Nimesoma Hapa Nimeona Nisijibu Maana Watu Wanaongeza Vitu Visivyohusiana na Pamanently Wanaconclude kwamba Ni Wakala Wa Shetani... everytime we try to speak our true nature people thoughts dat we talking about wicca and when we dare try to do something amazing peoples thoughts remain wicca tatizo Tanzania Imani Ya Kwanza Inayoongoza Na Kupewa kipaumbele ni uchawi out of body is our natural action but we don't even try to think..
Namshangaa sana Pasco kusema ukijitingisha au kutingishwa kwenye mwili uliouacha unakata uzi sasa kuna mtu katika uzi wako wa psychic powers aliwahi kukwambia anaweza kutoka nje ya mwili na akavuka barabara akirudi anakuta watu wamemzunguka na anaingia kwenye mwili wake na wewe Pasco Ukamwambia Kwamba Ile Ni Astral Projection labda ni AP Ipi ulikuwa Unazungumzia..
kwa akili ya mtu wa kawaida ataelewa nini kinachofanyika mtu akizimia means kwamba alikuwa anazimia na wale lazima watamuinua watampepea na kumsemesha pia kumtingisha sana tu....
usiwatishe watu wakashindwa kujua what are successful people do to archieve their goal....
Haika Nashukuru Kwa Quote Yako Maana Imejibu Zote Za Hapo Juu.....
Rakims
Last edited by a moderator: