Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

huu ni mrejesho kama nilivyoahidu jana. Kifupi sikufanikiwa, lakini ili nifanikiwe nitahitaji ufafanuzi zaidi au majibu ya maswali yafuatayo. Pia kama kuna la kurekebisha nirekebishe ili nifanikiwe na mie kutoka kwenye huu mwili.

1. Hivi natakiwa nilalaje? unaweza weka angalau picha ya huo mlalo? nilale chini au hata kitandani poa?

2. sikuwa peke yangu nyumbani lakini nilikuwa peke yangu sebuleni. Je hii inaweza kuwa ndio sanabu ya kufeli kwa zoezi langu?

3. kwa mbaaali kulikuwa na mziki kwa hiyo kuna muda nilikuwa nashindwa kujizuia kusikia baadhi ya nyimbo. Je hii inaweza kuwa sababu ya kudhindwa kwamba palitakiwa oawe compleately kimya?

4. pia wakati nimelala nilikuwa constanly nawaza what might happen huku nimekoncentrate kwenye pumzi. Ilifika mahali nilianza kuhesabu pumzi kinyumenyume kuanzia mia hadi sifuri ila sikupata matokeo.

Nini cha zaidi nifanye ili nifanikishe, nirekebishe wapi? niongeze kipi? ukinijibu nitajaribu na kuleta ufafanuzi hapa hapa.

kulala ni chali kama kawaida popote kitandani chini ishu ni pale patakapo kufanya ujiskie confortable.. kuhesabu mia kuja chini hadi hapo umefail maana ulikuwa unafanya kitu kingine na macho hukutuliza... thats all u have to correct...
 
kulala ni chali kama kawaida popote kitandani chini ishu ni pale patakapo kufanya ujiskie confortable.. kuhesabu mia kuja chini hadi hapo umefail maana ulikuwa unafanya kitu kingine na macho hukutuliza... thats all u have to correct...

!
!
majibu yako yamechelewa sana, kwa hiyo mrejesho ni kesho mkuu.
 
kulala ni chali kama kawaida popote kitandani chini ishu ni pale patakapo kufanya ujiskie confortable.. kuhesabu mia kuja chini hadi hapo umefail maana ulikuwa unafanya kitu kingine na macho hukutuliza... thats all u have to correct...

mkuu Rakims naomba niulize
nikiweza kufanikisha hiyo kitu
je ntaweza kuongea na mtu mwingine aliyelala(aliye usingizini) ?

.made in mby city.
 
Last edited by a moderator:
Rakim

Mkuu Rakims, naomba kusisitiza astra projection ni astra projection tuu!, kwa kifupi unafundisha watu kufanya "out of body!"
sijakataa wewe kutoa mafunzo, ila nimekutahadharisha wafundishe hao wanafunzi wako, the consequences za out of body!, hiyo silver cord ni kama utando wa buibui!, mtu ukiwa kwenye out of body, ukitingishwa, inakatika na ndio safari!.

Haya yote ni 'power manifestation', wafundishe hao wanaotaka kutoka out of body, wanatoka ili iweje?!.

Hizi stages za juu sana na zinafanywa kwa lengo maalum, naona wewe kama unawafundisha watu humu wafanye astral projection for fun!.

Kwa wale wasomaji wa uzi huu, nawasisitizia "don't try do anything you real don't know!". Na kwa wenye nia ya kufanya, kabla hujafanya kitu chochote, lazima kwanza ujiulize "what for", na swali la pili, "do I have to do this?!", yaani unafanya ili iweje?, na jee ni kweli unahitaji kwenda "out of body?!." ili ukafanye mini?!.

Kwa msio jua, hizi ni powers ambazo kila mmoja wetu anazo!, hata bila kufuata maelekezo yoyote ya Rakims, watu wengi hutokewa na "out of body" bila kijua, na mfano mzuri ni ndoto za majinamizi, wengi hujikuta awake lakini hawezi kutingisha mwili au kupiga kelele, ni katika kule kustrain, ndipo unaamka na kijasho juu huku unahema!.

Wachawi na wanga, kabla hawamchukua mtu, humpiga hiyo ganzi, nyinyi mnamuona kalala, kumbe analimishwa usiku kucha!.

Wachawi wote hutumia hii out of body kukutana na kupanga mambo yao, hivyo kwenda out of body bila guidance, una bog chances au kukumbwa na wazee wa kupaa usiku ukaenda kufanyiwa initiation za kushiriki zile "karamu zao za usiku", na kuonjeshwa!, ukishaonja tuu!, huachi!.

Angalieni msiwapoteze watu wakajikuta wanaenda kusiko, na mwisho wa siku ni 'ever forward!, no turning back!"

Please watch out na kuweni waangalifu sana!.

Waponyaji wanazitumia nguvu hizi kuponyeshea, na wachawi wanazitumia kulogea!.

Masikini wanashindwa kuzitumia kwa kutojua, na matajiri, wanazitumia kutajirikia!.

Ningefurahi kama mafunzo yangekuwa how to use them to make a difference and not how to use them for fun!, kujifurahishia tuu!.

Pasco

Kama ndio hv Hii kuwa out of body hunitokea sana ila si kwa maamuzi yangu, (sijui ni ya nani maana siambatani na mtu nakuwa mwenyewe) ila kuna siku nilienda nje kidogo ya mahali ninapoishi nikakutana na viumbe vitatu vya kutisha havipo ktk hali ya kibinadamu vilinishambulia nilipofanikiwa kurudi ktk hali ya kawaida nilikosa amani sana na huwa sisahau. Pia huwa nakuwa ktk hali ya kupaa na sio kutembea.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rakims!

usiku wa kuamkia leo nimejaribu hili zoezi kwa kwa takriban masaa 3 hivi na kufuata taratibu zote lakini sijafanikiwa, au kuna masharti mengine? ( mimi ni mtumiaji mzuri sana wa mmea wa kondeni a.k.a jani/ weeda)
 
Rakims

Mkuu Rakim thankx for ur contribution.Nasikia hata Yule mwanamuziki Pepe Kale ilikuwa ni kawaida yake usiku kutoka nje ya mwili wake.Sasa wakati Pepe kale anarudi kwenye mwili wake akakuta wife wake anamwamsha

lakini haamki mpaka wife akapiga kelele Watu wakaja till pronounced dead.Hapo ndiyo akashindwa tena kuingia na ikawa kifo cha Pepe Kale.Hili unalielezeaje mkuu?Au ndicho anachomaanisha Pasco?Muchas Gracias.

Kwanza Kabisa Umesikia? right? pili kifo cha mtu hafi hovyo hovyo hivyo.. hadi wakati wake ufike ndio anakufa.. na binadamu hafi ila kwa amri ya mungu tu... ingekuwa kufa ni rahisi hivyo basi hata anadondoka chini angekuwa haponi...

Mwisho Na Tatu Unapokuwa Nje Ya Mwili Hakuna Anaekuona Zaidi Ya Mwenyezi Mungu.. Sasa Huyu Aliemuona Alikuwa Ni Nani? Na Alikuwa Ndani Ya nyumba ya Pepekale? au alikuwa nae kipindi katoka nje ya mwili? Think Big...

"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Malarkey. Hocus pocus with neither locus no focus.

pourquoi êtes-vous encore en train de lire et de commenter si Hocus pocus ni avec Locus aucun foyer

"Rakims"
 
Rakim

Mkuu Rakims, naomba kusisitiza astra projection ni astra projection tuu!, kwa kifupi unafundisha watu kufanya "out of body!"
sijakataa wewe kutoa mafunzo, ila nimekutahadharisha wafundishe hao wanafunzi wako, the consequences za out of body!, hiyo silver cord ni kama utando wa buibui!, mtu ukiwa kwenye out of body, ukitingishwa, inakatika na ndio safari!.

Haya yote ni 'power manifestation', wafundishe hao wanaotaka kutoka out of body, wanatoka ili iweje?!.

Hizi stages za juu sana na zinafanywa kwa lengo maalum, naona wewe kama unawafundisha watu humu wafanye astral projection for fun!.

Kwa wale wasomaji wa uzi huu, nawasisitizia "don't try do anything you real don't know!". Na kwa wenye nia ya kufanya, kabla hujafanya kitu chochote, lazima kwanza ujiulize "what for", na swali la pili, "do I have to do this?!", yaani unafanya ili iweje?, na jee ni kweli unahitaji kwenda "out of body?!." ili ukafanye mini?!.

Kwa msio jua, hizi ni powers ambazo kila mmoja wetu anazo!, hata bila kufuata maelekezo yoyote ya Rakims, watu wengi hutokewa na "out of body" bila kijua, na mfano mzuri ni ndoto za majinamizi, wengi hujikuta awake lakini hawezi kutingisha mwili au kupiga kelele, ni katika kule kustrain, ndipo unaamka na kijasho juu huku unahema!.

Wachawi na wanga, kabla hawamchukua mtu, humpiga hiyo ganzi, nyinyi mnamuona kalala, kumbe analimishwa usiku kucha!.

Wachawi wote hutumia hii out of body kukutana na kupanga mambo yao, hivyo kwenda out of body bila guidance, una bog chances au kukumbwa na wazee wa kupaa usiku ukaenda kufanyiwa initiation za kushiriki zile "karamu zao za usiku", na kuonjeshwa!, ukishaonja tuu!, huachi!.

Angalieni msiwapoteze watu wakajikuta wanaenda kusiko, na mwisho wa siku ni 'ever forward!, no turning back!"

Please watch out na kuweni waangalifu sana!.

Waponyaji wanazitumia nguvu hizi kuponyeshea, na wachawi wanazitumia kulogea!.

Masikini wanashindwa kuzitumia kwa kutojua, na matajiri, wanazitumia kutajirikia!.

Ningefurahi kama mafunzo yangekuwa how to use them to make a difference and not how to use them for fun!, kujifurahishia tuu!.

Pasco

Tuelekeze namna ya kuzitumia kwa manufaa...
 
Last edited by a moderator:
Kuna tofauti gani na Ndoto? na ukitoka utakachopata ni nini? na kama hii kitu ingekuwa ni kweli wapelelezi wangeitumia sana

haipo vile unavyoimagine ndani ya kichwa chako.... punguza kwanza imagination... if if if zisahau kwanza...

"Rakims"
 
mkuu Rakims naomba niulize
nikiweza kufanikisha hiyo kitu
je ntaweza kuongea na mtu mwingine aliyelala(aliye usingizini) ?

.made in mby city.

Vizuri Tu, Kuna Mengi Zaidi Ya Hayo.....

"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
ulikua haujaoga mkuu na kingine ni lazima imani iwepo na uvute hisia kali kwenye ubongo wako

Kama issue ni imani Kali na hisia ambayo inafanya ujumla wa mind control.....sasa kwann kuwe na ulazima wa kuoga au kuvaa nguo safi Mara kujifungia ndani na masharti mengine ya aina hiyo????
 
Kama ndio hv Hii kuwa out of body hunitokea sana ila si kwa maamuzi yangu, (sijui ni ya nani maana siambatani na mtu nakuwa mwenyewe) ila kuna siku nilienda nje kidogo ya mahali ninapoishi nikakutana na viumbe vitatu vya kutisha havipo ktk hali ya kibinadamu vilinishambulia nilipofanikiwa kurudi ktk hali ya kawaida nilikosa amani sana na huwa sisahau. Pia huwa nakuwa ktk hali ya kupaa na sio kutembea.

mkuu hiyo ni power unayo kazi kwako kuiacha iendelee kuwa automatically au kuitumia na kuiongoza... kama ingekuwa kufa ni hovyo hovyo kama watu wanavyoimagine ungekufa zamani tu.. ila kama ni kwa amri ya mungu hadi pale siku atakapo kuhitaji...

"Rakims"
 
Mkuu Rakims!

usiku wa kuamkia leo nimejaribu hili zoezi kwa kwa takriban masaa 3 hivi na kufuata taratibu zote lakini sijafanikiwa, au kuna masharti mengine? ( mimi ni mtumiaji mzuri sana wa mmea wa kondeni a.k.a jani/ weeda)

Hapo Ni Sawa Na Kuchanganya Chumvi Na Sukari Kutegemea Kupata Asali Hakuna Masharti Hapo Sio Uchawi Huu....

"Rakims"
 
Back
Top Bottom